I like the CWT slogan: "Together we stand, divided we fall". But they are always 'divided'!
Walimu tusikate tamaa,wataeleweka tu.NO PROGRESS WITHOUT STRUGGLE!ALUTA CONTINUA!VIVA TEACHERS!VIVA CWT!WE HAVE TO SHOW THEM WE ARE THE JACK OF ALL TRADES.AMAAAAANDLAAAAAAAA
Ulitaka wawe focused na organised vipi ?Hukuona jinsi walivyoitikisa SERIKALI hadi wakaamua kutumia mhimili wao mwingine kuwakandamiza walimu?Acha dharau wewe angalia Part2 itakayofika. PATASOMEKA TUSio dharau kijana, tatizo hawana mshikamano, they are NOT focused and divided. Kujikomboa ni shughuri.
Acha dharau ww? Mwalimu ndiye aliyefanya ww uchangie hapa JF.
Baada ya siku saba?
Chama cha walimu tanzani CWT kimeipa serikali siku saba kufuatia amri ya mahakama ya kuitaka serikali kukutana na CWT na kufanya majadiliano kuhusiana na madai ya walimu SOURCE ITV
Nzenzu una utani na Mwalimu Meshack GAcha dharau ww? Mwalimu ndiye aliyefanya ww uchangie hapa JF.
Nzenzu una utani na Mwalimu Meshack G
Walimu kama watoto!
yah hawa ndo wanaokwamisha aiseeeeeeeSiku mamluki wakiondolewa katika ualimu,solidarity itakuwepo,kwa sasa kuna former barmaids waliochakachua vyeti hawawezi kamwe kuivimbia "sirikali"
Walimu waoga sana! Ni mkwara tu !
Hawa nao!!!
Chama cha walimu tanzani CWT kimeipa serikali siku saba kufuatia amri ya mahakama ya kuitaka serikali kukutana na CWT na kufanya majadiliano kuhusiana na madai ya walimu SOURCE ITV