CV ya Mbunge wa Chadema Maswa Mashariki Hon, Sylvester Mhoja

Kama hujasoma huwezi kusimamia wasomi. Elimu kwa viongozi ni muhimu. Hv na ukilaza wako wa darasa la saba unaweza kumuhoji waziri mwenye degree???? Acheni ushabiki maendeleo ni taaluma. Jifunze korea, japan, marekani na kwngineko hakuna diwani darasa la tatu amsimamie mtaalamu mwenye degree ndo mwisho wake visa tu vya wivu wa maisha na maendeleo hakuna coz hata ukinunua shati kwa elimu yake na uwezo wake kifedha anadhani umeiba coz kwake ni ndoto na anaamini nawe huwezi kuwa navyo kama yeye
huko marekani na japani Wana shule hizi hizi za kata ambazo hazina walimu?
 
Ritz,
Mbunge mkuu wangu hata akiwa hakumaliza darasa la nne maadam anaweza kuzungumza na kutetea maslahi ya wananchi sidhani kama tunahitaji ubishi maana umeona mwenyewe kina Stella.. Ila sikumbuki kama Murutunguru kilikuwa Chuo tayari mwaka 1978 sina hakika japokuwa nilishaondoka Kibara..
 
fananisha maendeleo ya jimbo kwake na la mwingulu mwenye digree ya (....)
 
Watu wengi wana mawazo potofu ya kuangalia elimu ya darasani tu kwenye CV, hii si sawa hata kidogo. Uzito wa Cv hautokani na education au academic credentials tu, ni zaidi hapo!
Tunaweza kushuhudia watu wengine wanajulikana kama wasomi wazuri lakini ni bogus kabisa, bora Airo mara kumi, hawana faida yoyote kwa jamii!
 
Tanzania tuna elimu ya kiwango cha diploma, ambayo ni kati ya High/Secondary School and University. Kwa hiyo kila mheshimiwa asiyebahatika kujiandikisha PWU na kupata digrii atasema ana diploma.
 
ndio ujue huyu mheshimiwa ni jiniasi, ana akili ya kuzaliwa, pamoja na elimu yake ya wastani bado kaking'oa madarakan chama tawala ccm jimbo la maswa mashariki. ingekuwa uingeleza mtu kama yeye anapewa cheo cha heshima ( SIR sylivester kasulumbayi)
 
Lameck Airo(La Kairo) hana elimu,hajui kusoma labda kama kajifunza siku hizi.


huko Kenya Jaji wa Mahakama Kuu amesema hivi:

By excluding everyone who does not have post-secondary education, I find that Section 22(2) of the Elections Act DISCRIMINATES on the basis of status and social origin.Corrupt and unethical practices have resulted into poor governance.A requirement for post-secondary education doesnot provide the remedy(Sunday Nation,July 1,2012 pg 13)
Sasa mimi naona CV huwa haifanyi kazi,wala Degree huwa hautunzi uadilifu.Aina ya Shahada walizokuwa nazo Mawaziri na Wabunge wetu zingegeuza nchi hii kufanana na Afrika Kusini kama zingekuwa na maana.Badala yake hata waliojisema ni Wachumi Daraja la Kwanza hoja zinakuwa muflisi!Kwani jamaa aliyemshinda Profesa Sarungi si kaishia Standard Seven?
 
Very Nice.Inatosha sana kuwa na CV ya namna hiyo. Jamani hebu angalieni CV ya Mkumba ilivyo mbovu kupindukia.
 
Bunge limejaa vilaza wengi sana hawana wanachojua; huwezi kuamini la budget limekuwa kama ukumbi wa maigizo hakuna chochote cha maana ni kupoteza pesa za walipa kodi; hata hiyo budget wanayodai ni mbovu hawawezi kuichambua umebakia wimbo mbovu, mbovu lakini hawana cha maana wanachosema; ipo haja ya kuangalia viwango vya elimu na wale wenye vyeti vya kugushi wasiruhusiwe kabisa kugombea; hili ni bunge la dhihaka tupu.

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
CV hii haina tatizo ila kikubwa nini anafanya ndani ya bunge sio kama huyo mbunge wenu mchemba na lusinde wana degree ubwabwa hawajui hata kuzitumia
 
CV hiyo inatosha na wananchi wanajua hilo ndio sababu wakamchagua. Hongera Syl M. Kasulumbayi, chapa kazi kamanda
 
MH. KOMBA - CV

EDUCATIONS
School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level

Lituhi Primary School Primary Certificate 1963 - 1969

Songea Boys Secondary School O-Level Education 1971 1974

Kleruu TTC Certificate 1975 - 1976

Cadet Training Unit - Monduli (Diploma) 1978 - 1979

Magdeburg - Germany (Diploma) 1988 - 1990

Chuo cha Sanaa - Bagamoyo (Diploma) 1986 - 1988
Huyu anaweza kuwa Mwalimu wa Mhoja
 
Umarufu wa kuimba ndo umempa ulaji huyu MH.
Kwenye kuimba wote tuna vua kofia na kuweka chini kwa Heshima ya Kikweli zaidi ya hapo Mmmh!

Komba alianza kupata umaarufu wa kuimba 1975 akiwa JKT Mafinga.
Baada ya kumaliza Kozi ya ualimu Kleruu jeshi lilianza kumtongoza ili aende huko akaimbe.

Enzi hizo mwallimu wa kwaya na mwimbaji mashuhuri ndani ya JWTZ alikuwa Marehemu Moses Nauye baba yake Nape.Mzee Nauye alikuwa na staili yake ya kuimba. Nyimbo zake nyingi wanazo TBC.

Komba alipoingia JWTZ chati ya kuimba ilikwenda juu sana,mengine ni historia.

Tatizo la kudhani ukiwa maarufu wa kusakata Rumba, kukimbia, Kuimba, kugani mipasho au kipaji chochote basi wewe unafaa kuwa kiongozi ipo kia mahali duniani. Umaarufu katika jambo moja mara nyingi hauna uhusiano na uwezo wa kuongoza watu au kushika nafasi fulani ndani ya serikali. Hata hivyo ni rahisi sana kujinadi katiak uwanja wa sias kama tayari wewe i maarufu katika jambo fulani.

"Mi ndo Keputeni Komba mwimbaji wa TOTI." Unapata kura kirahiiiisi!

"Mi ndo Tall Water mganga mashuhuri Tanzania" kuraa saaana!

Sasa wewe nenda jimboni kwenu kule Njombe Magharibi na kusema.

"Mi ndo Madela Wa- Madilu JF Senior Expert Member" uone kaa umaarufu wako JF utafua dafu huko mtaani.

Tumeweza kujaza kila aina ya watu dhaifu huko Bugeni kwa sababu wengi tunawachagua kutokana na sifa zao ambazo hazina uhusiano na shughuli tunayotaka waende wafaanye huko bungeni.

Jambo jingine kwa nini kuna uppupu mwingi bungeni ni kwa sababu wenye uwezo wa kujenga hoja hatuko tayari kabisa kwenda kugombea nafasi hizo kwa sababu ya kushikilia kwa nguvu tena kwa mikono yote miwili hizi kazi zetu za kubeba mabox. Ni aibu kwetu kwenda kujinadi, pia tunaogopa kushindwa.


Alafu hawaandiki mwezi alioanza na mwezi aliomaliza, hiyo diploma ya mwaka mmoja ya 1988 - 1990 na 1988 - 1990, hapa sijui diploma ya mwaka mmoja au sijui ni ipi maana huenda akawa aliingia November 1998 - March 1990 (hapa mwaka haujaisha). hata hiyo certificate ya Kleruu ina maana ualimu zamani walikuwa wanasoma mwaka mmoja
 
CV hiyo inatosha na wananchi wanajua hilo ndio sababu wakamchagua. Hongera Syl M. Kasulumbayi, chapa kazi kamanda

Hiyo CV inaweza kuchambua bajeti ya wizara ya fedha?
 
Wazania Tunajidanganya na Elimu zetu kweli. KINACHO MATA NI KWAMBA WEWE UNATOA OUT PUT GANI KWA JAMII? NA C VYUO ULIVYO SOMA,

WAKO WAPI WAKINA PROFESA SARUNGI DR WA MIFUPA JE ALISAIDIA VIPI NCHI HII? Mimi nina ushahidi huku Arusha kuna Msai mmoja ni mwenyekiti wa KIJIJI HAJUI KUSOMA WALA KUNADIKA LAKINI WANACHI HADI WASOMI WANAMKUBALI KWA MISIMAMO YAKE ISIYO YUMBISHWA NA ALIWASHINDA WALISOMA,
 
Member of Parliament CV

GENERAL
SalutationHonourableMember picture
1743.jpg
First Name: Sylvester
Middle Name:Mhoja
Last Name:Kasulumbayi
Member Type:Constituency Member
Constituent:Maswa Mashariki
Political Party:CHADEMA
Office Location:Box 170, Ipililo Maswa, Shinyanga
Office Phone: +255 787 458107/+255 716 343727/+255 667 343727
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail: skasulumbayi@parliament.go.tz
Member Status: Current Member
Date of Birth 1 January 1950
EDUCATION
School Name/Location Course/Degree/Award Start DateEnd DateLevel
Bugisi Primary SchoolPrimary Education--PRIMARY
Monduli Teachers' Training CollegeTeaching College19721973CERTIFICATE
Murutunguru CollegeCourse19781979CERTIFICATE
EMPLOYMENT HISTORY
Company Name Position From DateTo Date
The Parliament of TanzaniaMember - Maswa East Constituency20102015
Maswa District Executive Director OfficeTeacher19732000
POLITICAL EXPERIENCE

JF Daima
:clap2:

Weka kwanza CV ya John Lukuvi na Captain John Komba tuanzie hapo. The bottom line what is the minimum qualification required for one to be a member of the August house. Hakika 80% of the wananchi hawajui what is a CV including yourself. Wabunge au viongozi wanyefanyiwa vetting Kabla ya kugombea this could do and CCM wanajua fika ukiwa na Wabunge wasomi itakuwa vigumu kutawala.
 
Hii Murutunguru ndie ile iliyopo kule katika kisiwa cha Ukerewe ?
 
Back
Top Bottom