Opticf Member Oct 4, 2012 62 4 Oct 6, 2012 Thread starter #3 Ni kwa wenyewe airtel au kuna kampuni ambayo inahusika nao km erolink kwa voda
Rashidabdallah Member Oct 5, 2012 29 1 Oct 6, 2012 #4 Ile kampuni inayoajiri customer care airtel inaitwa spanco,nenda pale uchumi ndio ofisi zao zipi
Opticf Member Oct 4, 2012 62 4 Oct 7, 2012 Thread starter #5 Hivi kuwachukua watu kuwa customer care wanazingatia level gani ya elimu.?
chumvichumvi JF-Expert Member May 6, 2010 1,205 304 Oct 9, 2012 #7 Zaidi lugha ya kiingereza na kiswahili zina husika