FF katika post zako zote nilizowahi kuzisoma, ni mbili tu zina akili, hii ni mojawapo na ni ya pili.Kifo ni kifo, sikubaliani nae na pia sikubaliani na itikadi za kisiasa za chadema, lakini kama binaadam mwenzangu namkubali. Malumbano yetu ya kisiasa yasifikie kunyimana hata Juisi.
AshaDii,
Kazi nzuri sana uliyofanya unastahiki pongezi.
Hii mbona hujaiweka? https://www.jamiiforums.com/mahusia...mwanamme-ndoa-yangu-ingalikuwa-mashakani.html
Sasa ashadii, niliona karibu wachangiaji wote ma-premium na mimi nikatamani kuwa premium na kujiondokea zangu. Lakini pia nilitaka kukutabasamisha maana naona msiba umekutia simanzi sana.
Thanks Love for this useful thread...definately I am in the bandwagon of those wishing to have everthing in one place. Good that you can apply your orgazational skills not only at home but also here.
RIP Regia
kazi nzuri rafiki
Between the two minds ...competitive and creative ....
I would put you in Creative Mind with Pas
... I enjoyed your creativity in this thread ...
RIP R Mtema
Nimeyafanya haya kwa kuwa niwajibu wangu kuyafanya hayo.Nimelelewa katika kutimiza Wajibu wangu - Rejia E. Mtema
Souce: LINK
Ni ajabu saana jinsi ambavo kila siku twalaumu viongozi kwa kazi ambazo wategea na kuto toka katika wizara zao... Mimi ni member wa JF I have a rite na obligation ya kufanya hivo (Mradi iwe ndani ya uwezo wangu); Vivo hivo hata wewe. Kuipenda kwangu JF na kumpenda na kumkubali kwangu Marehemu Regia ndio imenisukuma hilo... Pia ile kitendoa cha kusema I am certain kuna members wanataka hizi Links and feel lost not knowing where to start pia nayo imenisukuma. I am passionate in all my doings. Hivo kama unaona my passion has exceeded the required amount thus ukaamua kuni name/nishutumu nataka U-moderator.... I am humbled kwa kunipaisha.
Pamoja Saana.
AshaDii.