gimmy's
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 3,283
- 3,274
Huu ni ukweli wa wazi kwamba katiba nyingi za vyama vya upinzani ni mbovu sana kuliko hata hii ya jamuhuri ambayo wamekua wakiilalamikia hata kuunda umoja waliouita UKAWA.
Hili linajidhihirisha waziwazi kwenye mgogoro unaoendelea sasa ndani ya chama cha CUF ambapo tunaona Lipumba na kundi lake wanatafsiri yao ya katiba ya chama huku Maalim Seif na jopo lake nao wanatafsiri yao.
Si CUF tu,tukitizama hata CDM ambao wanalalamika Magufuli ni dictator lakini Mbowe anashikilia uenyekiti wa chama kwa zaidi ya miaka kumi sasa kama vile hakuna wengine wenye uwezo kwenye nafasi hio.
Haya yote yanatokea kutokana na mapungufu yaliopo ndani ya katiba zao.
Wapinzani wanapaswa kufahamu kwamba mmulika nyoka huanzia miguuni kwake.
Huu ni ushauri wa bure,wapinzani wanapaswa kuanza kushugulika na katiba za vyama vyao kwanza ndipo wahangaike na katiba ya jamuhuri.
Hili linajidhihirisha waziwazi kwenye mgogoro unaoendelea sasa ndani ya chama cha CUF ambapo tunaona Lipumba na kundi lake wanatafsiri yao ya katiba ya chama huku Maalim Seif na jopo lake nao wanatafsiri yao.
Si CUF tu,tukitizama hata CDM ambao wanalalamika Magufuli ni dictator lakini Mbowe anashikilia uenyekiti wa chama kwa zaidi ya miaka kumi sasa kama vile hakuna wengine wenye uwezo kwenye nafasi hio.
Haya yote yanatokea kutokana na mapungufu yaliopo ndani ya katiba zao.
Wapinzani wanapaswa kufahamu kwamba mmulika nyoka huanzia miguuni kwake.
Huu ni ushauri wa bure,wapinzani wanapaswa kuanza kushugulika na katiba za vyama vyao kwanza ndipo wahangaike na katiba ya jamuhuri.