Sasa jifunzeni siasa za kuwalinda watanzania dhidi ya mawaa yote
Hivi sisi tumelogwa na nani?? Ina maana Mtatiro ameyajua haya baada ya kupigwa mweleka na Chadema???
Halafu sijui anajaribu kutueleza nini baada ya kuisadia CCM kuendeleza ufisadi wao Igunga. Hata waombe radhi namna gani, dhambi waliyotenda hawa watu wa CUF kwa kuhujumu harakati za ukombozi huko Igunga itawafuna milele hadi hiki chama kifutike kwenye uso nchi hii....especially huku kwetu!!