EasyFit
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 1,269
- 1,082
Siisikii CUF zanzibar na mikashikashi yake huku bara ndiyo kabisaa sijawahi waona huku mikoani tangu uchaguzi mkuu uishe zaidi ya uchaguzi wa Igunga walipopata aibu ya karne. Iko wapi ile CUF ya Mapalala iliyotingisha serikali bara na visiwani hadi kulazimika serikali kuingiza watu wao kuisambalatisha, ile CUF ya Seif imeenda wapi, labda sasa tutegemee hii mpya inayokuja ya Hamad Rashid. Hakika tunahitaji chama kingine cha tatu chenye nguvu baada ya CCM na Chadema.