- Thread starter
- #21
Tatizo la taifa letu ni kufanya mambo kiubaguzi, haiwezekani sheria moja ikatafsiriwa tofautitofauti. Pili kwa cuf inaonekana tayari mgombea wao ni lipumba na maalim seif, kama kawa demokrasia ndani ya cuf ni msamiati!
Mkuu wangu nilipohudhuria mkutano wao pale Jangwani baada ya kumtangaza Lipumba kama mgombea wao uchaguzi mkuu ujao na walipoanza tu kumuombea kura niliondoka kwa Aibu kubwa.Niliisikitikia demokrasia Tanzania.