PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,454
Nawashauri viongozi wa chama cha wananchi (CUF) pamoja na wanachama wake,
Inawabidi mwache tabia ya uvivu na umangi meza,badala ya kukaa mjini na kula bata huku mkiwanyooshea wenzenu wa CDM vidole na kuwasengenya wakiwa katika shughuli zizao za kisiasa.
ni wakati sasa wa kutoka na kwenda vijijini kuwapa elimu wa raia wananchi. na siyo kulalamika hovyo maana sasahivi haijulikani nani mpinzani wenu kati ya (CCM,CDM,AU NI WANANCHI)
Inawabidi mwache tabia ya uvivu na umangi meza,badala ya kukaa mjini na kula bata huku mkiwanyooshea wenzenu wa CDM vidole na kuwasengenya wakiwa katika shughuli zizao za kisiasa.
ni wakati sasa wa kutoka na kwenda vijijini kuwapa elimu wa raia wananchi. na siyo kulalamika hovyo maana sasahivi haijulikani nani mpinzani wenu kati ya (CCM,CDM,AU NI WANANCHI)