CUF inatumika kuua upinzani. Haiingi akili yaani from no where mtu anaanza kushambulia CDM badala ya serikali mbovu ya CCM. Hivi ni kweli wamesahau waliyokuwa wanafanyiwa na CCM wakati ule wao ndio chama kikuuu? Hawajiulizi wameteleza wapi wanaanza kukimbilia kuua nguvu CDM. Hapo ndio naamini wanatumika.