CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,914
CUF wanajitahidi kila namna kuwemo kwenye Kundi la KUMBE WAMO ila kwa bahati Mbaya ni vigumu sana Kufikia mafanikio ya CHADEMA kwa sababu zifuatazo
1. Mafanikio ya CHADEMA hayajaanza leo na yamejengwa kwa miaka mingi sana tofauti na CUF wanavyo zania kwamba watajenga Chama chao ndani ya huu muda Mfupi
2. CHADEMA inapendwa na Wananch Naturay na hii ni kutokana na sababu nyingi Kubwa ikiwemo KUPAMBANA NA UFISANI, NA JINSI WABUNGE WA CHADEMA WANAVYO SHUKA NONDO BUNGENI NA NJE YA BUNGE. cuf hawana watu wa aina hiyo
3. CHADEMA ina watu/ Hazina kubwa sana ya kuweza kuwezesha Uhamasishaji tofauti na CUF, na hapa ndo sehemu zaidi ambayo CHADEMA kinajivunia na ndo sehemu ambayo inaimaliza CUF moja kwa moja, Leo hii John HECHE yuko Kagera akiendeleza M4C na yuko peke yake, Kamanda MAWAZO yuko Mwanza, CUF kiongozi wao wa Vijana hawezi kufanya anayo fanya JOHN HECHE, Mtatiro hawezi kufanya mikutano peke yake ni mpaka apewe sapoti ya Prfesa
- Wananchi Leo hii hata wakisikia kuna DIWANA WA CHADEMA KUTOKA MWANZA ATAFANYA MKUTANO Tanga bado hamasa itakuwa kubwa sana na watu watajitokeza CUF hakuna kitu kama hicho
- CHADEMA hata bila kuwatumia Viongozi wa Juu kama Dr Slaa na Mbowe M4C inaweza fanya vizuri kwani watu kama akina LEMA, SUGU, WENJE, ZITO, NYERERE, MNYIKA, MSIGWA, na makamanda wa sasa MILYA, MAWAZO na wengineo wanaweza leta hamasa ya aina yake kwenye Mikutano ya M4C,
- CUF haina watu wa aina hii na inawategemea LIPUMBA PEKEE NA MALIMU KWA UPANDE WA ZANZIBAR
- Viongozi wengi wa CUF hawajulikana Miongoni mwa wananchi, Zaidi ya Profesa pamoja na Malmu Sefu hao wengine hawajulikana na ni vigumu kufanya Mikutano wakiwa peke yao,
4. CUF wananch wengi wanakitazama kama Chama cha huko Zenj na hii iko wazi kabisa kupitia kwa Viongozi wao na hata wakipanda Jukwaani wengi utasikia ni lafudhi ya Zenji so hii nayo ni tatizo kubwa sana kwa CUF
5. Ndoa yao na CCM nao ni tatizo kubwa sana
6. Umarufu wa CHADEMA umeanzia mbali na unachagizwa na factor nyingi sana ikiwemo ya Majina ya watu Maalufu hapa Tanzania kama Vicent Kiboko Nyerere, Letricia Nyerere na sasa hivi watoto wa WASIRA, hii inachangia kwa kiasi kikubwa sana kuipaisha CHADEMA, haya majina yakitajwa ni Promo tosha kwa CHADEMA
7. vyombo vya Usalama hususani Police wanachania sana kufanikisha M4C
MOD HII THREAD HAINA UHUSIANO NA MKUTANO WA LEO SO ISIUNGANISWE TAFADHALI
1. Mafanikio ya CHADEMA hayajaanza leo na yamejengwa kwa miaka mingi sana tofauti na CUF wanavyo zania kwamba watajenga Chama chao ndani ya huu muda Mfupi
2. CHADEMA inapendwa na Wananch Naturay na hii ni kutokana na sababu nyingi Kubwa ikiwemo KUPAMBANA NA UFISANI, NA JINSI WABUNGE WA CHADEMA WANAVYO SHUKA NONDO BUNGENI NA NJE YA BUNGE. cuf hawana watu wa aina hiyo
3. CHADEMA ina watu/ Hazina kubwa sana ya kuweza kuwezesha Uhamasishaji tofauti na CUF, na hapa ndo sehemu zaidi ambayo CHADEMA kinajivunia na ndo sehemu ambayo inaimaliza CUF moja kwa moja, Leo hii John HECHE yuko Kagera akiendeleza M4C na yuko peke yake, Kamanda MAWAZO yuko Mwanza, CUF kiongozi wao wa Vijana hawezi kufanya anayo fanya JOHN HECHE, Mtatiro hawezi kufanya mikutano peke yake ni mpaka apewe sapoti ya Prfesa
- Wananchi Leo hii hata wakisikia kuna DIWANA WA CHADEMA KUTOKA MWANZA ATAFANYA MKUTANO Tanga bado hamasa itakuwa kubwa sana na watu watajitokeza CUF hakuna kitu kama hicho
- CHADEMA hata bila kuwatumia Viongozi wa Juu kama Dr Slaa na Mbowe M4C inaweza fanya vizuri kwani watu kama akina LEMA, SUGU, WENJE, ZITO, NYERERE, MNYIKA, MSIGWA, na makamanda wa sasa MILYA, MAWAZO na wengineo wanaweza leta hamasa ya aina yake kwenye Mikutano ya M4C,
- CUF haina watu wa aina hii na inawategemea LIPUMBA PEKEE NA MALIMU KWA UPANDE WA ZANZIBAR
- Viongozi wengi wa CUF hawajulikana Miongoni mwa wananchi, Zaidi ya Profesa pamoja na Malmu Sefu hao wengine hawajulikana na ni vigumu kufanya Mikutano wakiwa peke yao,
4. CUF wananch wengi wanakitazama kama Chama cha huko Zenj na hii iko wazi kabisa kupitia kwa Viongozi wao na hata wakipanda Jukwaani wengi utasikia ni lafudhi ya Zenji so hii nayo ni tatizo kubwa sana kwa CUF
5. Ndoa yao na CCM nao ni tatizo kubwa sana
6. Umarufu wa CHADEMA umeanzia mbali na unachagizwa na factor nyingi sana ikiwemo ya Majina ya watu Maalufu hapa Tanzania kama Vicent Kiboko Nyerere, Letricia Nyerere na sasa hivi watoto wa WASIRA, hii inachangia kwa kiasi kikubwa sana kuipaisha CHADEMA, haya majina yakitajwa ni Promo tosha kwa CHADEMA
7. vyombo vya Usalama hususani Police wanachania sana kufanikisha M4C
MOD HII THREAD HAINA UHUSIANO NA MKUTANO WA LEO SO ISIUNGANISWE TAFADHALI