PayGod
JF-Expert Member
- Mar 4, 2008
- 1,259
- 57
CRDB yakiri kuitaifisha Sekondari kufidia deni
BENKI ya CRDB imekiri kuichukuwa Shule ya Sekondari ya Mkandawile kwa kufidia mkopo wake walioutoa kwa mmiliki wa shule hiyo.
Ofisa uhusiano wa benki hiyo aliyejulikana kwa jina la Manel alisema shule hiyo kwa sasa ipo chini ya benki ya CRDB, lakini hawezi kuongelea lolote kuhusu shule hiyo kwa sababu taratibu zote ziko chini ya Bodi ya wakurugenzi.
Inadaiwa mmiliki wa shule hiyo anadaiwa zaidi ya Sh 500 milioni.
Siwezi kuongelea chochote kile kuhusu suala la Shule ya Mkandawile kwa sababu mkurugenzi mkuu hajazungumzia lolote kuhusiana na shule hiyo,alisema Manel.
Shule ya Mkandawile iliyopo Majohe, Kata ya Chanika Wilaya ya Ilala ilichukuliwa na Benki ya CRDB tangu Oktoba mwaka jana, ambapo wanafunzi pamoja na walimu waliachwa kuachwa njiapanda bila ya kujua la kufanya.
Hii ni wiki ya tatu sasa, baadhi ya walimu wa shule hiyo walihamishia makazi yao kwa aliyekuwa mmiliki wa shule Alfan Mkandawile ambaye naye baada ya shule hiyo kutokuwa mikononi mwake aliamua kutokomea kusikojulikana.
Walimu wa shule hiyo, akiwemo Kaimu Mkuu wa Shule, Michael Sigore kwa nyakati tofauti walilidokeza gazeti hili kuwa wamdai kiongozi wa shule mishahara ya miezi saba na kwamba wenye nyumba walikopanga wamewafukuza ndio maana wamehamishia familia zao kwa Mkandawile
Huyu mkandawile alikuwa mwalimu mzuri wa chemistry form V na VI, na wakati anazisha hii shule ilikuwa nzuri sana, na sijuhi kwanini ameshindwa kulipa hili deni.
BENKI ya CRDB imekiri kuichukuwa Shule ya Sekondari ya Mkandawile kwa kufidia mkopo wake walioutoa kwa mmiliki wa shule hiyo.
Ofisa uhusiano wa benki hiyo aliyejulikana kwa jina la Manel alisema shule hiyo kwa sasa ipo chini ya benki ya CRDB, lakini hawezi kuongelea lolote kuhusu shule hiyo kwa sababu taratibu zote ziko chini ya Bodi ya wakurugenzi.
Inadaiwa mmiliki wa shule hiyo anadaiwa zaidi ya Sh 500 milioni.
Siwezi kuongelea chochote kile kuhusu suala la Shule ya Mkandawile kwa sababu mkurugenzi mkuu hajazungumzia lolote kuhusiana na shule hiyo,alisema Manel.
Shule ya Mkandawile iliyopo Majohe, Kata ya Chanika Wilaya ya Ilala ilichukuliwa na Benki ya CRDB tangu Oktoba mwaka jana, ambapo wanafunzi pamoja na walimu waliachwa kuachwa njiapanda bila ya kujua la kufanya.
Hii ni wiki ya tatu sasa, baadhi ya walimu wa shule hiyo walihamishia makazi yao kwa aliyekuwa mmiliki wa shule Alfan Mkandawile ambaye naye baada ya shule hiyo kutokuwa mikononi mwake aliamua kutokomea kusikojulikana.
Walimu wa shule hiyo, akiwemo Kaimu Mkuu wa Shule, Michael Sigore kwa nyakati tofauti walilidokeza gazeti hili kuwa wamdai kiongozi wa shule mishahara ya miezi saba na kwamba wenye nyumba walikopanga wamewafukuza ndio maana wamehamishia familia zao kwa Mkandawile
Huyu mkandawile alikuwa mwalimu mzuri wa chemistry form V na VI, na wakati anazisha hii shule ilikuwa nzuri sana, na sijuhi kwanini ameshindwa kulipa hili deni.