BabaDesi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2007
- 6,032
- 3,944
Leo nilikuwa naperuzi account yangu ya CRDB through internet banking na nikashtuka kidogo na fees zao. Nimekutana na kitu kama ifuatavyo:
Monthly maintenance fee ........Tshs. 1,000
Card fee June ........................Tshs. 4,000 (hii transaction ya tarehe 9 July)
Card fee June ........................Tshs. 4,000 (hii transaction ya tarehe 13 July)
Withholding Tax .....................Tshs. 63.39
Nilikuwa sijanotice hivi vitax kwa muda na nashangaa kama huu ni utaratibu mpya. Kama wanamfanyia kila mteja namna hii, basi wanatengeneza faida ya hatari sana
...Ongeza na hizi:
-Maintenance fee 700/= ( nina hakika hii wameishapandisha!)
- Withdrawal fee 500/= ( pia nadhani imeishapanda!)
- Visa ATM Charges 2000/-
- Mimi binafsi nina cheki ya shs 30,000/- ambayo huingia kila Ijumaa kwenye Account yangu na inapoingia tu jamaa wanachukua 1,500 kama Commission na mimi kubaki na 28,400/= kwa maana hiyo katika 120,000/= ya kila mwezi jamaa wanavuta 6,000/= zangu kama commission yao mbali na makato yote hayo mengine!! Dah. Naanza kufikiria sana kuhusu kuweka hela zangu chini ya Godoro!
-