Naomba ufafanuzi kidogo hapo hgarama za internet banking, je hata kwa wale wateja waliyoomba bank statement kwa nia ya barua pepe wanakatwa?
Nilishawahi kuleta hii kero hapa siku za nyuma, nashukuru wadau walitoa mwanga. Kwa hali ilivyo, CRDB iatayumba sana kwa kuwa haya makato yanakera sana. CEO, Sumaye na Wakurugenzi wengine wanapaswa kusoma upepo haraka, kwa kuwa hata kule kwenye hisa bei inapepesuka, wateja wamekuwa wakiibiwa sana
Nilishawahi kuleta hii kero hapa siku za nyuma, nashukuru wadau walitoa mwanga. Kwa hali ilivyo, CRDB iatayumba sana kwa kuwa haya makato yanakera sana. CEO, Sumaye na Wakurugenzi wengine wanapaswa kusoma upepo haraka, kwa kuwa hata kule kwenye hisa bei inapepesuka, wateja wamekuwa wakiibiwa sana