CRDB na fees zao...!?

Consultant

JF-Expert Member
Jun 15, 2008
11,401
20,661
Leo nilikuwa naperuzi account yangu ya CRDB through internet banking na nikashtuka kidogo na fees zao. Nimekutana na kitu kama ifuatavyo:

Monthly maintenance fee ........Tshs. 1,000
Card fee June ........................Tshs. 4,000 (hii transaction ya tarehe 9 July)
Card fee June ........................Tshs. 4,000 (hii transaction ya tarehe 13 July)
Withholding Tax .....................Tshs. 63.39

Nilikuwa sijanotice hivi vitax kwa muda na nashangaa kama huu ni utaratibu mpya. Kama wanamfanyia kila mteja namna hii, basi wanatengeneza faida ya hatari sana
 
Mabenki mengi yanataratibu za kuwaibia wateja, hasa unapokuwa si mdadadisi, nivizuri kufuatilia statement na kuweka kumbukumbu.
na kama unamkopo ndio muhimu zaidi, wale jamaa wa credit ndimo wanapigia pesa.
 
KUME tuko wengi na hili, nimekatwa na MIMI PIA, SAME CHARGES, YAANI CRDB NI JANGA I SEE, NASUBIRI TU MWEZII UJAO NAENDA KUFUNGA ACCOUNT, CRDB NI WEZI FULL STOP
 
Leo nilikuwa naperuzi account yangu ya CRDB through internet banking na nikashtuka kidogo na fees zao. Nimekutana na kitu kama ifuatavyo:

Monthly maintenance fee ........Tshs. 1,000
Card fee June ........................Tshs. 4,000 (hii transaction ya tarehe 9 July)
Card fee June ........................Tshs. 4,000 (hii transaction ya tarehe 13 July)
Withholding Tax .....................Tshs. 63.39

Nilikuwa sijanotice hivi vitax kwa muda na nashangaa kama huu ni utaratibu mpya. Kama wanamfanyia kila mteja namna hii, basi wanatengeneza faida ya hatari sana

KUME tuko wengi na hili, nimekatwa na MIMI PIA, SAME CHARGES, YAANI CRDB NI JANGA I SEE, NASUBIRI TU MWEZII UJAO NAENDA KUFUNGA ACCOUNT, CRDB NI WEZI FULL STOP

Wakuu,

Ninachofahamu ni kuwa, ukiwa unatumia internet banking charges kwa mwezi ni Tshs. 1000. Na card (VisaCard) fee ni Tshs. 8000 kwa mwaka. Kinyume na hapo watakuwa wamekuibia au wameanzisha utaratibu mpya ambao ni ghali sana na itabidi kuwakimbia fasta kwa kweli.
 
Wakuu,

Ninachofahamu ni kuwa, ukiwa unatumia internet banking charges kwa mwezi ni Tshs. 1000. Na card (VisaCard) fee ni Tshs. 8000 kwa mwaka. Kinyume na hapo wanatakuwa wamekuibia au wameanzisha utaratibu mpya ambao ni ghali sana na itabidi kuwambia fasta kwa kweli.


Kama huu noi utaratibu mpya, basi tupo matatizoni. Ntajaribu kuwapigia simu niwasikilize.
 
KUME tuko wengi na hili, nimekatwa na MIMI PIA, SAME CHARGES, YAANI CRDB NI JANGA I SEE, NASUBIRI TU MWEZII UJAO NAENDA KUFUNGA ACCOUNT, CRDB NI WEZI FULL STOP

Babu, kama unaweza fanya follow-up physically na utupe updates
 
Mimi nilitaka kwenda kumfungulia mwanangu JUNIOR ACCOUNT CRDB, mbona mmeanza kunitisha jamani? Nimfungulie bank gani tena?
 
Leo nilikuwa naperuzi account yangu ya CRDB through internet banking na nikashtuka kidogo na fees zao. Nimekutana na kitu kama ifuatavyo:

Monthly maintenance fee ........Tshs. 1,000
Card fee June ........................Tshs. 4,000 (hii transaction ya tarehe 9 July)
Card fee June ........................Tshs. 4,000 (hii transaction ya tarehe 13 July)
Withholding Tax .....................Tshs. 63.39

Nilikuwa sijanotice hivi vitax kwa muda na nashangaa kama huu ni utaratibu mpya. Kama wanamfanyia kila mteja namna hii, basi wanatengeneza faida ya hatari sana

Mkuu usijisumbue tu kuwapigia, hakuna kilichokosewa hapo!
Hiyo buku kama alivyosema mdau hapo juu ni fee ya internet banking, mi nilishawahi kuwauliza wakaniambia hivyo. Halafu hizo buku nne nne ni gharam ya card yao (8000 kwa mwaka), sema tu wamekata in two instalments. Hiyo 63.39 ni kodi ya TRA
 
hakuna kilichokosewa hapo!
Hiyo buku kama alivyosema mdau hapo juu ni fee ya internet banking, mi nilishawahi kuwauliza wakaniambia hivyo.

Really?? ngoja nione August kama hawatolamba buku 4 nyingine!
 
Mimi nilitaka kwenda kumfungulia mwanangu JUNIOR ACCOUNT CRDB, mbona mmeanza kunitisha jamani? Nimfungulie bank gani tena?

Dada Kokutona kama uko DAR na hutegemei kuhama, kamfungulie mwanao akaunti DCB (Dar es Salaam Community Bank). Wana faida kubwa zaidi ni 6 % wakati CRDB ni 2.5 %.
 
Dada Kokutona kama uko DAR na hutegemei kuhama, kamfungulie mwanao akaunti DCB (Dar es Salaam Community Bank). Wana faida kubwa zaidi ni 6 % wakati CRDB ni 2.5 %.

Bahati mbaya niko Tanga mashauri na nilipo kuna access ya CRDB na NMB tu
 
Hata mie nilikuta makato ya 4000 mara mbili eti ni card fee...Nilitaka kuwafuata kuuliza kuhusu hili suala. Ila kama ni gharama za visa card, kulikuwa na sababu gani ya msingi ya kukata mara mbili??
 
Back
Top Bottom