Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,038
- 2,199
- Thread starter
- #41
muboss yeye huyu wanayemuita kimeyi?Tatizo ni huyo bosi wao mkuu anawavua sana chupi hao wafanyakazi wake wengi. Hapo sio rahisi kupanda cheo km nyeti ya huyo mubosi haijakuclick. Jamaa kwa sababu muda wake ndio unayoyoma kajaza watoto zake na vimada vyake akiwemo huyo mama wa Arusha mnayemlalamikia. Huyo mama ana kiburi sana just coz ni kimada wa muboss. Jamaa kaijenga na pia yeye mwenyewe ataibomoa CRDB.