Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,398
- 1,264
Kama ni hazina huyu kiongozi ni MTU mstaraabu sana na huwa hana utendaji kazi wa kukurupuka.
Nilianza kumfahamu akihudumu Polisi, RAS Kagera, Kaimu DG wa Takukuru, na baadae DG wa Usalama. Kusema kweli huyu MTU ana kaliba ya aina yake. Lkn pia kila jambo hulifanya kwa hofu ya Mungu.
Nchi yetu inawahitaji watu wa aina hii, na wanapojitokeza tuwaunge mkono - lkn pia hata wasipojitokeza wenyewe basi tuwashauri na kuwashawishi watafute nafasi za uongozi kupitia taasisi za vyama vya siasa.
Ni ushauri tu
Msakila Kabende
(Mchumi Mbobezi)
Nilianza kumfahamu akihudumu Polisi, RAS Kagera, Kaimu DG wa Takukuru, na baadae DG wa Usalama. Kusema kweli huyu MTU ana kaliba ya aina yake. Lkn pia kila jambo hulifanya kwa hofu ya Mungu.
Nchi yetu inawahitaji watu wa aina hii, na wanapojitokeza tuwaunge mkono - lkn pia hata wasipojitokeza wenyewe basi tuwashauri na kuwashawishi watafute nafasi za uongozi kupitia taasisi za vyama vya siasa.
Ni ushauri tu
Msakila Kabende
(Mchumi Mbobezi)