Mkuu kweli kabisa sikatai hata mimi nikipata mwenye vyote mungu ashukuliwe..., lakini je penye wawili mzuri mapepe au wakawaida (sababu hakuna msichana mbaya) mwenye tabia murua, caring na very kind.....
Ni yupi utamuweka ndani?
Neither mkuu,nitaendelea kutafuta attractive kwangu(mzuri) na good qualities.Kwa kweli macho yangu kuridhika ninapomwangalia mke wangu ni muhimu sana.