MISULI
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,826
- 5,451
Serikali imekupa elimu juu ya kujikinga. Unataka ikulazimishe?Huo ndio upumbavu. Serikali inakuwepo kwa sababu zipi?
Senti bai yuzingi tecno T301
Serikali imekupa elimu juu ya kujikinga. Unataka ikulazimishe?Huo ndio upumbavu. Serikali inakuwepo kwa sababu zipi?
Kwa hiyo kwa akili zako, serikali haina wajibu wowote.Serikali imekupa elimu juu ya kujikinga. Unataka ikulazimishe?
Senti bai yuzingi tecno T301
Wewe mbigwa, maiti zote za wanaokufa unaletewa kwenu kuzihakiki?Watu wanaokufa kuna ndugu, rafiki au jamaa yako?Au ndio story za UNAAMBIWA?Unaambiwa na nani?Kwanini kila mtu anakuja na story za UNAAMBIWA?
Senti bai yuzingi tecno T301
Hata Mimi Nina mashaka na idadi ya waliopona aliyoitaja waziri leo Kama haina uhusiano na tamko la Rais Magufuli kuhusu kuwatangaza wanaopona ya kwamba ni wengi!!!Ninamashaka kama hii idadi ya wagonjwa inayotajwa sasa haina uhusiano wowote na tamko la WB la kukopesha nchi zilizoathirika zaidi na corona.
Sasa huu utumbo si yeyote anaweza andika ni 'hear say' ambazo hazina ushahidi wowote!"Dar es Salaam lazima kuwe na wagonjwa wengi na vifo vingi kutokana statistically kuna Population kubwa".Hii kauli ni ya Mamlaka
Ukweli huogopesha lakini bora usemwe,Corona maeneo ya Dar es Salaam inamaliza watu, Hakuna mwandishi au gazeti ambalo linaweza kuhoji familia hizi zinazolia kila siku kwa kutowaona wapendwa wao wanaozikwa kimya kimya na Mamlaka
Kauli za kupeana Morali kuwa watu wachape kazi waongeze pato la Taifa Dar es Salaam litamsaidia nani? Hizi familia ambazo ndugu zao wanazikwa kwa kuugua corona zina mateso makali sana.
Watu maarufu na wenye ushawishi kwenye mamlaka na jamii ndio hao wanazikwa na watu wasiozidi ishirini au kumi, Je wewe kabwela ambae hutambuliki na mamlaka omba yasikukute
Uchunguzi ufanyike nini kinachoendelea maeneo ya makaburi ya huko Bahari Beach eneo la kondo,Buza na Mbweni
Uchunguzi ufanyike ongezeko la kelele za ambulance kwa wingi maeneo ya Dar es salaam kutoka hospital kuelekea maeneo hayo ni wangapi wanazikwa kwa janga hili
Tunakubaliana vita inahitaji umorali na nguvu lakini hili ni gonjwa sio vita linahitaji tiba tahadhari na ukweli
Leo hii kuna malalamiko makubwa watu wakifuatilia ndugu zao hospitali waliolazwa wanajibiwa alishafariki na kuzikwa na mamlaka kimya kimya,
Mamlaka imeamuru wizara ya afya ijibu kuwa sio kila mgonjwa hufa kwa corona ni kweli.Je kwanini wanazikwa na mamlaka bila hata ndugu kuhusishwa bali hujibiwa ndugu yenu alishazikwa amefariki
Wizara ya afya ni bora mkaongea ukweli ili watu wachukue tahadhari kuliko sasa mnapojaribu kuuma na kupuliza,
Paul Makonda alikuwa anapuliza na kufariji watu wachape kazi lakini visa vya watu kupukutika na corona sasa amebadili kauli na kuamua kuwa mkweli kuwa Dar corona inamaliza watu
Mamlaka kila siku inakuja na kauli kinzani kama corona sio ishu kwanini mnafunga shule Tanzania nzima, Ruhusuni baadhi ya mikoa elimu iendelee isipokuwa Dar na Zanzibar
Wanakijiji wasiojielewa na baadhi ya wapiga pambio wao hawachuji kauli za mamlaka, Hii itapelekea watu kuwa na morali na kupukutika zaidi
Corona Ni Mimi na wewe. Kaa home. Fuata masharti. Kama kuna mtu kachukua Malory kukufunga na kamba Utoke. Usafiri. Usivae mask. Then utakuwa Sawa. Na Pole. Otherwise hata huku ulaya masharti Ni hayo anayowaambia waziri mkuu Toka kwa kuwa una ulazima wa kutoka. Safiri kama una ulazima. Mwisho wa siku Sio kiongozi atakayetuua Bali Ni mtu Kama wewe. Una access na taarifa Zote kuhusu corona Lakini unasubiri uambiwe na kusukumwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimesoma hii post yako..
Wakati nasoma nikategemea utasema familia ya fulani wa sehemu fulani, walikuwa na mgonjwa..fulani.. kwenye hospitali fulani. Amefuatiliwa na taarifa zinaonesha amefariki na kuzikwa katika makaburi unakotaja.
Ni post inasema kitu kikubwa lakini ni hisia tu.
Sasa mkichukuliwa mkathibitishe inakuwa shida baadae, shida ya kutosha tu.
Chanika ndo sio dar acha dharau
Habari za Mafia?WanaJf mlioko Dar nawapa siri sehemu salama kwa sasa ni Mafia
La sivyo subiri uzikwe huku miguu iko nje na mgambo wa jiji
Nimeshafungasha kuna jamaa namdai ananimalizia changu halafu nasepaHabari za Mafia?
Usiwapelekee watanzania corona kwa makusudi tu
Lakini pesa yetu haiwezi kusambaza virusi vya corona,au BOT wamefuta barua yaoSerikali pamoja na Makapuni ya Simu na taasisi zingine zinazojihusisha na masuala ya kutuma, kupokea na kufanya miamara ya malipo y fedha. Zingekaa pamoja na kuangalia namna ya kusaidia kupunguza gharama kwenye hiyo miamara ili kupunguza kupokea fedha kutoka mikono ya mtu mmoja kwenda kwa mwingine.
Tujitahidi sote kwa pamoja kupiga vita hivi ili tuweze kuendelea kuona kesho iliyosalama na yenye watanzania walio na afya njema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama mnajua mnakufa kwanini msijifungie ndani?
kwani kuna mtu kalazimishwa atoke nje ya nyuma yake? Au kiherehere tu
Umasikini ni mzigoMtu kuwa maskini anakosa vitu vingi sana...huwa sio mkweli, mbishi hata kama hajui, jeuri kwenye jambo linalomwangamiza, uelewa na elimu ya mambo ni mdogo sana...kila kilicho cha mrengo wake atakisifia hata asipokuwa na ABC zake.
Jamani corona inaua na inaua kweli kweli.....data zinazotolewa na mataifa makubwa sio kiini macho ni za kweli.
Kwa sifa zetu Bongo na mfumo wa utawala usitegemee utaambiwa kila kitu, kuna siasa nyingi na mapambano ya propaganda za kivita utafikiri tunapambana na adui tunayemuona, hivyo tunamtisha tumejiandaa na mavifaa chungu mzima.
Corona is just around there close to you, ready to hug and kiss very softly....hakuna kelele hata tumtungue kwa mabomu.
Ifike mahali tusema ukweli maana utaponya wengi na kuokoa wengi.
Uzuri na ubaya wa corona haibugui mazee, so we are all in the cycle...hata mabingwa wa kuchukulia poa, itakuja tu ndio wataelewa maumivu ya wengine kwa ndugu zao.
Wamekufa kumi tu. Hizo picha na videos mtandaoni mzipuuze, ni za mabeberu wanaotaka nchi isitawalike.
Hata lile lory la manispaa lililoandikwa Dar City Council burial services sio la serikali, hata Kama Lina namba SU.
Mkiliona linaranda randa maeneo ya makaburi mlipuuze
Kama "Mpumbavu" ni jambo la kawaida ; inshaallah,...Hata mimi sijakutukana. Wasiwasi wako tu.