Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 10,274
- 12,393
Watetezi na wanufaika wa mgao wanasema 'lazima' mgao ungelikuwepo sababu ya uchakavu wa miundo mbinu!Yes ku rely kwenye wa maji tu ni biggest single source of failure, as time inazidi dunia inatafuta vyanzo vingine zaidi ya maji. Imagine tanzania tungekuwa na multiple sources za umeme? Leo hii tungepata shida ya mgao?
Hata sasa umeme kuongezewa, wanatafuta 'kiswahili' cha kufanya ili mgao uendelee.