Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,052
- 12,909
Nchi za Afrika Kusini na Congo DRC zimetiliana saini ya mkataba wa uendelezaji wa ujenzi wa bwawa la umeme la Megawati elfu 70 ama GW 70 katika maporomoko ya mto Congo.
Mradi huo unaoitwa Grand Inga Dam Project uko mto Congo na unakadiriwa kugharimu Dola Bilioni 80 hadi kukamilika kwake na utazalisha megawati elfu 70. Iwapo litakamilika litakua ndio bwawa kubwa kuliko yote Duniani
Kumbuka Tanzania tunaenedeleza bwawa la mwalimu Nyerere la Megawati 2115 sawa na Gigawatt 2.
Pia kumbuka Afrika Kusini inazalisha umeme ama ina uwezo wa kuzalisha umeme Megawati elfu 60, ama Gigawatt 60, hii ni sawa na 50% ya umeme wote unaozalishwa Afrika nzima lakini bado haitoshelezi mahitaji yake kwani kumekua na mgao mkubwa sana wa umeme.
Ukanda huu wa kusini mwa jangwa la sahara(Southern African Power Pool) una upungufu mkubwa sana wa umeme.
Wale wazee wa umeme wa maji umepitwa na wakati mpo?
China pia anatarajia kujenga Bwawa la umeme la kuzalisha megawati elfu 60 ili kukabiliana na mazingira na hali ya hewa.
Mradi huo unaoitwa Grand Inga Dam Project uko mto Congo na unakadiriwa kugharimu Dola Bilioni 80 hadi kukamilika kwake na utazalisha megawati elfu 70. Iwapo litakamilika litakua ndio bwawa kubwa kuliko yote Duniani
Kumbuka Tanzania tunaenedeleza bwawa la mwalimu Nyerere la Megawati 2115 sawa na Gigawatt 2.
Pia kumbuka Afrika Kusini inazalisha umeme ama ina uwezo wa kuzalisha umeme Megawati elfu 60, ama Gigawatt 60, hii ni sawa na 50% ya umeme wote unaozalishwa Afrika nzima lakini bado haitoshelezi mahitaji yake kwani kumekua na mgao mkubwa sana wa umeme.
Ukanda huu wa kusini mwa jangwa la sahara(Southern African Power Pool) una upungufu mkubwa sana wa umeme.
Wale wazee wa umeme wa maji umepitwa na wakati mpo?
China pia anatarajia kujenga Bwawa la umeme la kuzalisha megawati elfu 60 ili kukabiliana na mazingira na hali ya hewa.
China to build the world’s biggest dam on sacred Tibetan river
The dam on the Yarlung Tsangpo is part of China’s ‘green’ initiatives but there are concerns about its effect.
www.aljazeera.com