Wera weraaaaaaaaaaa asante wana mbozi mmetupa raha wenzenu. Mmetumia haki yenu ya kimsingi. Mmeleta mabadiliko ya kweli. Tunakwenda kuikomboa nchi yetu karibuni.
Weraaaaaaaaaaaaaaaa Chademaaaaaaaaaaaaaaa pipoziiiii pawaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
You may be wright or wrong. In order to post something in JF, better put your self in the shoes of the readers. Do not be so imotional that you can not have tangible information. Watu wana hamu ya kujua kura za mbunge wa Chama fulani na fulani, kisha Presida...pls mnaoleta habari...
believe me t was brief the netwk of the reporter was breakingup, then wakajiunga kumsilkiliza makame dar election results, bottom line chadema wameshinda:smile-big:
hata kama yupo ccm Zambi ni mpiganaji mzuri sana na bila shaka kasi yake itaongezeka baada ya kushuhudia wenzie waliokuwa wamelala wakipukutika kama maua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.