Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Ngoja niipitie nitarudi
Mapendekezo ya Ludovick Utouh ni uji mwepesi...
Anabainisha matatizo lakini hapendekezi hatua za kisheria kuchukuliwa wote wale ambao wamehusika katika ufisadi huu. Kama anaweza kujua makosa, yawaje ashindwe kuwataja wahusika jina baada ya jina na kubainisha ni makosa gani ya kuhujumu uchumi wameyafanya na wanapaswa kuchuliwa hatua gani?
Tatizo hapo ni kuwa ofisi ya CAG haiko huru na ndiyo maana Utouh anatoa majibu mepesi ya kumsaidia JK kufunika mashimo makubwa kama haya. This is why we need a new constitutional order to deal with all issues that are weakening our institutions of governance...
Haya mazingira ambayo Utouh kayabaini yatasaidia kwenye kesi ya kukataa kuwalipa DOWANS ya kuwa ile TUZO was fraudulently extracted.........and therefore can not be honoured in light of our own laws.....
Rais amemtaka CAG kuwachukulia hatua wote wanaokiuka taratibu za matumizi ya fedha za umma.
Asiwemo achekwe?Hivi yeye hayumo katika hilo?
walipe wizara ou shirika bado mzigo wa kuzilipa hizo pesautaenda kwa wananchiLUDOVICK Uttouh ameeleza wazi kabisa juu ya jinsi mambo yalivyokuwa, kwahiyo hakuna sababu ya TANESCO kulipa Deni, Wizara ilijifanya inajuwa mambo kwa kulazimisha TANESCO wakubaliane na Wizara itakavyo, wakiwa wanajuwa kabisa kuwa wafanyacho hakiendani na jinsi taratibu, kanuni na sheria zitakavyo na uzuri TANESCO kwa kuwa waelewa walikuwa wakikataa baadhi ya command, lakini mwisho wa siku mambo yameharibika, wizara inataka kujivuwa gamba, heheheheheheh
Wizara lipa deni huna pa kukimbilia