Mtu Mzima
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 394
- 124
Kuna tofauti gani TANESCO kutolipa ikalipa Serikali?. Ikilipa TANESCO ni shirika la umma (Shirika la Watanzania), fedha zake ni za Watanzania.
Serikali inakusanya kodi toka kwa watanzania na kwa niaba ya watanzania wote. Kwa hiyo fedha za serikali ni za watanzania
Hatari pekee kwa TANESCO kulipa ni kufilisika.
Lakini njia zote 2 ni maumivu kwa Watanzania.
Serikali inakusanya kodi toka kwa watanzania na kwa niaba ya watanzania wote. Kwa hiyo fedha za serikali ni za watanzania
Hatari pekee kwa TANESCO kulipa ni kufilisika.
Lakini njia zote 2 ni maumivu kwa Watanzania.