Kalunguine
JF-Expert Member
- Jul 27, 2010
- 2,543
- 134
Kama taarifa hizi ni sahihi,Tanzania haihitaji kuwa na viongozi.Ni heri wangetutajia hizo aina tujue maana still ziko kwenye mzunguko.
Acheni uasherati, haumpendezi mungu.
watakomaje??tukiwaambia dumu na mpenzi mmoja mnatuona "mapopompo" sasa kazi kwenu!kudadadeki.kuna jamaa mmoja hivi yeye alikuwa anaona condoms ndio kimbilio lake asijue zina matundu.mimi mwenyewe ningekuwa na kiwanda ningetengeneza zenye matundu.maskini yule jamaa loh!atakuwa amepata ukimwi!
R.I.P MR..........!
"miafrika ndivyo tulivyo" NYANINGABU
watakomaje??tukiwaambia dumu na mpenzi mmoja mnatuona "mapopompo" sasa kazi kwenu!kudadadeki.kuna jamaa mmoja hivi yeye alikuwa anaona condoms ndio kimbilio lake asijue zina matundu.mimi mwenyewe ningekuwa na kiwanda ningetengeneza zenye matundu.maskini yule jamaa loh!atakuwa amepata ukimwi!
R.I.P MR..........!
tuambie hizo kondom ni brand ipi dume,au salama au brand za kizungu?