hiyo iwe laptop,au desktop,tatizo ni feni.chec fen itakuwa haizunguki au kama inazunguka haizunguki vizuriEBANA KUNA PC AMBAYO NIMELETEWA ILI NIIPIGE WINDOW NYINGINE. BUT KILA NIKIJARIBU KUIPIGA WINDOW, INAANZA VIZURI MPAKA KWENYE HATUA YA "to install a fresh copy of window now press ENTER" NIKIPRESS ENTER COMPUTER INAZIMIKA.