Common Interview Questions and how to answer them

Interview c mbaya kihivyo na unaweza ukajibu vizuri na ukakosa kazi sababu ya chuki binafsi au interviewer mwenyewe kuwa na matatizo yake nawe kuhusu namna unavyojibu ila c kwamba hau-qualify, katika maswali yote mimi la malipo huwa linanipa wakati mgumu wanakuwa keen na kukukazia macho as u speak hadi m2 unaogopa kutaja kubwa sana matokeo yake unataja ndogo ambayo haikulipi c wote 2nakuwa after kazi as we claim katika interview but its ol about authority, power n money ya post husika
 
hivi we unajua maswali magumu wewe? au ndo interview zenu za kufanyiwa na madiwani....sasa kwenye ma interview yaliyoenda adabu hapo hamna swali
We kigogo umetokea kigogo nini?basi tupe maswali yako wewe unayoyaona ndio magumu,jamaa katoa maswali ambayo nenda interview yoyote lazima utapata baadhi ya maswali. Kutoka hapo,nampa thanks.
 
Ni kweli baadhi ya maswali yaweza kuwamo lakini kuna waajiri wana attitude zao hasa kwa sisi wabongo ambao mambo yetu ni taratibu ukiongea polepole unaonekana hauko sirias... Sijui hili nalo wadau mnalionaje... Mie nadhani hata uwe mzuri kiasi gani inabidi ujifunze jinsi ofisi yako mpya inavyofanya kazi huwezi kujua kila kitu.
Mimi binafsi navutiwa na jinsi barua ya mwombaji alivyoandika na CV yake maswali yawe ya kawaida siyo mtihani pale ila kama unataka kumjua mtu unaulizia alikotoka.
But all are good staff!
 
kama ningekuwa nimeisoma mapema nadhani ningepata kazi shirika moja la kimataifa, nilifanya interview majuzi na maswali mengi ni haya haya, kwenye salary niliangukia pua maana nilidhani $2000 ni kubwa sana kumbe wao walipanga $4000-$6000, sikufanya research ya kutosha.
Thanks so much, nadhani itasaidia wengine pia
 
Thou at times kuna baadhi ya interviews zinakuwa very tricky lakini it's always good to adjust yourself kulingana na mazingira na important thing don't cram but to make sure iko kichwani mwako vizuri hata yule mtu ambaye anakufanyia interview akibadilisha swali basi hautoshtuka wala kubabaika
 
KIGOGO WEWE UTAKUWA CHAMA FULANI CHA UPINZANI......... mtu anapojaribu au kufanya vyema hupongezwa kwanza kisha mengine hufuata...! si kukosoa kila kitu hata kama kizuri.....!
BIG UP ZITTO KABWE... wapo wakuonao kama si mpinzani kwa wewe kutoa pongezi za wazzi kwa mh rais wetu.....WAO WANATAKA UWE UNAPINGA TUUUU PINGA TUUUU hata kama kilichofanyika ni sahii
 
Mkuu, wewe binafsi neno "interview" maana yake ni nini?
- a formal meeting & discussion with someone, eg a person applying for a job, or a person with information to broadcast on radio or Television.
Mkuu naona kama hiyo Q & A ya Interview ina fit sana kwa mtu anaye tafuta kazi si ktk red hapo juu.
 
Mkuu, wewe binafsi neno "interview" maana yake ni nini?
- a formal meeting & discussion with someone, eg a person applying for a job, or a person with information to broadcast on radio or Television.
Mkuu naona kama hiyo Q & A ya Interview ina fit sana kwa mtu anaye tafuta kazi si ktk red hapo juu.

Mkuu, hata mimi namshanga huyu jennyfd....Anaona kabisa kwamba hili ni Jukwaa La Watangazaji wa TV na Redio; badala yake yeye anatuletea Q & A ya watafuta kazi!!! Watu wengine banaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom