College of Engineering cha UDSM Chafungwa

Ng'wanangwa

JF-Expert Member
Aug 28, 2010
10,827
4,172
Habari ndo iyo.

Nasikitika kuona imefika hapo kwa suala ambalo ninaamini lingezungumzika. Nadhani vijana wa Engineering itabidi wa-review thinking yao.

Wenzao (mangwini) juzi walikuwa kwenye mgomo kushinikiza serikali ya nchi yao iwaongezee posho. Kilichonishangaza ni kuona wanafunzi wa uhandisi hawashiriki. Wao walikuwa na mgomo tofauti wa kushinikiza mwenzao aliyeliwa kichwa arudishwe.

Sitaki kuwananga. But they have screwed themselves by enlarging this problem.

Hakuna uinjinia hapo. ni uhuni tu.
 
Habari ndo iyo.

Nasikitika kuona imefika hapo kwa suala ambalo ninaamini lingezungumzika. Nadhani vijana wa Engineering itabidi wa-review thinking yao.

Wenzao (mangwini) juzi walikuwa kwenye mgomo kushinikiza serikali ya nchi yao iwaongezee posho. Kilichonishangaza ni kuona wanafunzi wa uhandisi hawashiriki. Wao walikuwa na mgomo tofauti wa kushinikiza mwenzao aliyeliwa kichwa arudishwe.

Sitaki kuwananga. But they have screwed themselves by enlarging this problem.

Hakuna uinjinia hapo. ni uhuni tu.
sjakuelewa unamaanisha kimeshafungwa?na washakula kona?
 
Habari ndo iyo.

Nasikitika kuona imefika hapo kwa suala ambalo ninaamini lingezungumzika. Nadhani vijana wa Engineering itabidi wa-review thinking yao.

Wenzao (mangwini) juzi walikuwa kwenye mgomo kushinikiza serikali ya nchi yao iwaongezee posho. Kilichonishangaza ni kuona wanafunzi wa uhandisi hawashiriki. Wao walikuwa na mgomo tofauti wa kushinikiza mwenzao aliyeliwa kichwa arudishwe.

Sitaki kuwananga. But they have screwed themselves by enlarging this problem.

Hakuna uinjinia hapo. ni uhuni tu.

Hiyo college siku hizi hamna kitu tangu walipobadilisha kuwa college kutoka faculty. Engineering ilikuwa kipindi sisi tupo huko miaka ya 90, waliokuwepo enzi hizo wanajua.
 
Habari ndo iyo.

Nasikitika kuona imefika hapo kwa suala ambalo ninaamini lingezungumzika. Nadhani vijana wa Engineering itabidi wa-review thinking yao.

Wenzao (mangwini) juzi walikuwa kwenye mgomo kushinikiza serikali ya nchi yao iwaongezee posho. Kilichonishangaza ni kuona wanafunzi wa uhandisi hawashiriki. Wao walikuwa na mgomo tofauti wa kushinikiza mwenzao aliyeliwa kichwa arudishwe.

Sitaki kuwananga. But they have screwed themselves by enlarging this problem.

Hakuna uinjinia hapo. ni uhuni tu.

Umepeleka wa busara zako, waache hawa vijana wanachofanya ni sahihi, kwa mazingara ya sasa mtu una GPA above 3 then unadisko kwa course moja tu haikubaliki.
 
vijana wamechemka sana. wanamtetea vipi mwenzao aliyefukuzwa kwa kuwa na desa darasani? ilihali yeye mwenyewe alithibitisha kwenye maandishi kuwa ametafuna hiyo karatasi? it is strange

zamani tulikuwa tunagoma kwa issue inayotuunganisha wote. issue kama hii tulikuwa tunaishia kuchangisha pesa ya ku appeal na kutafuta lawyer wala si kugoma
 
Polen sana mainjinia wetu wa kibongo! Siku hz elimu ya kibongo imejaa msuli pepa na wanaoshndwa kumeza ni kudesa kwa kwenda mbele! Sio makosa ya wanafunzi,mazingira ya elimu yenyewe yanachangia! Our education is too theoritically!!! Not relevant to our development! Ina pima uwezo wa wanafunzi kukariri na si uelewa halis wa wanafunzi wa kutransform materials to real environment! Wanaowafukuza wenyewe uskute walikuwa wadesaji wazuri au wamesoma nje!
 
Umepeleka wa busara zako, waache hawa vijana wanachofanya ni sahihi, kwa mazingara ya sasa mtu una GPA above 3 then unadisko kwa course moja tu haikubaliki.

issue si GPA hata kama una 4.5 au zaidi, umekutwa na karatasi una copy ina maana hata hiyo GPA ni ya kuchakachua lazima taratibu za msingi za ku assess wanafunzi zifuatwe otherwise tunajenga Taifa la wahuni
 
Umepeleka wa busara zako, waache hawa vijana wanachofanya ni sahihi, kwa mazingara ya sasa mtu una GPA above 3 then unadisko kwa course moja tu haikubaliki.

Ni kweli haikubaliki. Lakini lazima tukubaliene kuwa UDSM ni Shirika la Umma. Ni tawi la Serikali. Michakato ya serikali huwa haiendi kwa kuburuta. Ukidisko lazima usote angalau mwaka mmoja wakati huo ukifuatilia directly au indirectly. I know this.

Mimi ninaamini vijana hawajatumia busara.

Tuombe Mungu jamaa arudi watakaporuhusiwa kurudi.
 
Haaa kumbe kakamatwa akidesa na amekiri mwenyewe?? Kumbe nilikuwa nahurumia mtenda dhambi.

Nampa pole, chuo nilichosoma ukikamatwa unaigiza tena kwenye mtihani unapewa hadi nauli na usafiri wa kukufikisha kwenu. Ukileta kiburi ishu inapelekwa mahakamani.......

Ni halali yake kufukuzwa chuo kama sheria za chuo zinavyosema.
 
Source taarifa ya habari TBC1 (saa saba na nusu mchana tarehe 9 Feb 2011)

Makamu mkuu wa chuo amekifunga chuo hivyo hadi itakapotangazwa tena. Kisa ni kwa sababu wamekataa kuacha mgomo wa kushinikiza mwenzao aliyepatikana anaibia mtihani arudishwe
 
Habari ndo iyo.

Nasikitika kuona imefika hapo kwa suala ambalo ninaamini lingezungumzika. Nadhani vijana wa Engineering itabidi wa-review thinking yao.

Wenzao (mangwini) juzi walikuwa kwenye mgomo kushinikiza serikali ya nchi yao iwaongezee posho. Kilichonishangaza ni kuona wanafunzi wa uhandisi hawashiriki. Wao walikuwa na mgomo tofauti wa kushinikiza mwenzao aliyeliwa kichwa arudishwe.

Sitaki kuwananga. But they have screwed themselves by enlarging this problem.

Hakuna uinjinia hapo. ni uhuni tu.

Wenzio lengo la kufungwa chuo limetimia wewe unasema wame screw? fuatilia historia ya migomo yote ni karibia na mitihani wenziowalikuwa wanatafuta sababu za chuo kufungwa ili wakameze material walizolishwa mfululizo na baadaye kuingia kwenye UE
 
Mimi bado nafurahi tu kwamba ccm na serikali wanapanua wigo wa upinzani na uanaharakati. Hawa wataipenda serikali na ccm kwa sababu gani?
 
Kama alikuwa kweli anaibia mtihani afukuzwe kabisa huyu. Hana tofauti na mafisadi wengine. Sasa huyu akifanikiwa kupata degree na kuwa engineer na baadaye kupata kazi ya ukurugenzi tanesco si atakuwa anaingia mikataba kama ya dowans mengi tu? Kukuzia mbali huyu fisadi wenzake wanakesha kusoma yeye anataka mteremko tu.
 
Back
Top Bottom