College of Engineering cha UDSM Chafungwa

Umepeleka wa busara zako, waache hawa vijana wanachofanya ni sahihi, kwa mazingara ya sasa mtu una GPA above 3 then unadisko kwa course moja tu haikubaliki.

Wewe inaelekea hukusoma zamani kama unavyotaka tuamini!! Mbona DISCO lilikuwa ni jambo la kawaida tu regardless your GPA. Kuna jamaa SUA nakumbuka alisha disco na 6 As, 1 B na aka-fail Biometry kwenye EU na sup. Sasa niambie huyu bwana alikuwa na GPA ya ngapi??
 
Hivi bongo "Open Book Examination" bado haijaiingia?, kwa wenzetu Sometimes Teachers hawacomplicate, unaambiwa njoo na mavitabu yote uliyonayo plus hints ambazo teacher alishadokeza kwamba huenda zikatoka kwenye paper, Then unafanya paper, cha ajabu sasa watu bado hawapati 100!
 
nitarudi niwaambie kwanini madesa ktk vya uhandisi vya ukweli ni kero hata ukiwa nayo.
 
Hiyo college siku hizi hamna kitu tangu walipobadilisha kuwa college kutoka faculty. Engineering ilikuwa kipindi sisi tupo huko miaka ya 90, waliokuwepo enzi hizo wanajua.

....achana na historia,,,,kama ni hivyo hata ulimwengu ulimwengu enzi za adamu na eva,,,,sio sasa!!!
enzi zenu, enzi zenu,,,,,,,,,,,hizo blaa blaa tu!
 
Mimi bado nafurahi tu kwamba ccm na serikali wanapanua wigo wa upinzani na uanaharakati. Hawa wataipenda serikali na ccm kwa sababu gani?

Bwana Gurudumu huwa ninaheshimu sana hoja zako.

But I can assure you this thing has nothing to do with CCM or Tanzania politics in general.

Chuo kina sheria zake. Zimevunjwa. Mwanafunzi ame-disco. Fine. Lakini hapohapo kuna nafasi ya ku-appeal. Ndiyo njia pekee na imewarudisha wengi masomoni baada ya kupatwa na mikasa kama huyu mwanafunzi.

Pamoja na ku-appeal, lazima mwanafunzi husika asote kidogo mtaani. sasa hawa jamaa walikuwa wanataka arudishwe sasa hivi.

How come? Wiki ya 13-14. Walimu wako bize kuandaa tests na UE's.


Kila jambo linatafutiwa ufumbuzi kwa wakati wake.

Ishu za kudisco huwa zinatolewa maamuzi kipindi cha mpito kuelekea mwaka mwingine wa masomo.

ndo maana nasema hawa watoto wame-screw!!
 
vijana wamechemka sana. wanamtetea vipi mwenzao aliyefukuzwa kwa kuwa na desa darasani? ilihali yeye mwenyewe alithibitisha kwenye maandishi kuwa ametafuna hiyo karatasi? it is strange

zamani tulikuwa tunagoma kwa issue inayotuunganisha wote. issue kama hii tulikuwa tunaishia kuchangisha pesa ya ku appeal na kutafuta lawyer wala si kugoma

.....atleast this is a point,,,,you are right mkuu!!!
 
Ukiona utetezi mkubwa hivyo, bila shaka wadesaji ni wengi. Shida ya huyo ilikuwa kukamatwa.
 
vijana wamechemka sana. wanamtetea vipi mwenzao aliyefukuzwa kwa kuwa na desa darasani? ilihali yeye mwenyewe alithibitisha kwenye maandishi kuwa ametafuna hiyo karatasi? it is strange

zamani tulikuwa tunagoma kwa issue inayotuunganisha wote. issue kama hii tulikuwa tunaishia kuchangisha pesa ya ku appeal na kutafuta lawyer wala si kugoma

zamani watu walikuwa wanaingia darasa la kwanza wakiwa na miaka 10. siku hizi la kwanza miaka 5-6.

piga hesabu, mpaka akafike mwaka wa kwanza chuo kikuu atakuwa na miaka mingapi, na je akili itakuwa imepevuka ama utoto-utoto tu?
 
UDSM bila madesa hutoki.

tatizo ni namna ya kuyatumia.

Mkuu acha kuupotosha umma. Madesa inategemea na akili zako zilivyo, kama wewe ni wa kukesha Duso unapiga maji sentence yako itakuwa na maana. Ila ninakuhakikishia kuwa kutumia desa ni kujiendekeza tu. Mbona watu wanatoka na flying colours bila desa.

Wakati nipo pale jamaa walikuwa na msemo kuwa "Kozi work yako ni nzuri! ; mmmmh! kama kipanga; hakika wewe unatumia madesa; ni kweli". Sasa weka msemo huu kama lile tangazo la revola kama unalikumbuka.

Hapo utaona kuwa kuna vipanga ambao hawatumii madesa ila vilaza desa ndiyo kwao na ndiyo wenye msemo huu "UDSM bila desa hutoki". UDSM ni chuo kikuu pekee Tanzania kinachotoa vichwa makini vingi kuliko chochote kile nchini. Kusema bila desa hutoki ni kukishusha hadhi.
 
Mkuu acha kuupotosha umma. Madesa inategemea na akili zako zilivyo, kama wewe ni wa kukesha Duso unapiga maji sentence yako itakuwa na maana. Ila ninakuhakikishia kuwa kutumia desa ni kujiendekeza tu. Mbona watu wanatoka na flying colours bila desa.

Wakati nipo pale jamaa walikuwa na msemo kuwa "Kozi work yako ni nzuri! ; mmmmh! kama kipanga; hakika wewe unatumia madesa; ni kweli". Sasa weka msemo huu kama lile tangazo la revola kama unalikumbuka.

Hapo utaona kuwa kuna vipanga ambao hawatumii madesa ila vilaza desa ndiyo kwao na ndiyo wenye msemo huu "UDSM bila desa hutoki". UDSM ni chuo kikuu pekee Tanzania kinachotoa vichwa makini vingi kuliko chochote kile nchini. Kusema bila desa hutoki ni kukishusha hadhi.

mkuu vipanga udsm wapo.

tatizo walimu wa pale wanatoa maswali yale yale kila mwaka.

hapo ndipo utakuta hata hao vipanga unaowasema wanajikuta wanalazimika kudesa ili wapate hizo "Graduate with A's".

Samahani sana mkuu sijasema UDSM kuna vilaza. Naomba ufute usemi wako mkuu.
 
Wewe inaelekea hukusoma zamani kama unavyotaka tuamini!! Mbona DISCO lilikuwa ni jambo la kawaida tu regardless your GPA. Kuna jamaa SUA nakumbuka alisha disco na 6 As, 1 B na aka-fail Biometry kwenye EU na sup. Sasa niambie huyu bwana alikuwa na GPA ya ngapi??

Nachojaribu kusema ni kuwa si kila anayedisco coet wanachuo wanagoma, lah ila kuna mazingira ya kuchakachua.
 
Habari ndo iyo.

Nasikitika kuona imefika hapo kwa suala ambalo ninaamini lingezungumzika. Nadhani vijana wa Engineering itabidi wa-review thinking yao.

Wenzao (mangwini) juzi walikuwa kwenye mgomo kushinikiza serikali ya nchi yao iwaongezee posho. Kilichonishangaza ni kuona wanafunzi wa uhandisi hawashiriki. Wao walikuwa na mgomo tofauti wa kushinikiza mwenzao aliyeliwa kichwa arudishwe.

Sitaki kuwananga. But they have screwed themselves by enlarging this problem.

Hakuna uinjinia hapo. ni uhuni tu.

hujui gwini 1000 sawa na inginia 1. kama hujui. na ratio dunian niwatu 4000 wenye degree sawa na engineer 1. take it frm me. idiooooti.
 
Mimi bado nafurahi tu kwamba ccm na serikali wanapanua wigo wa upinzani na uanaharakati. Hawa wataipenda serikali na ccm kwa sababu gani?

Kwa sababu ya kutii matakwa yao ya kupata muda zaidi wa kusoma nyanga kabla ya kuingia kwenye UE.
 
Bwana Gurudumu huwa ninaheshimu sana hoja zako.

But I can assure you this thing has nothing to do with CCM or Tanzania politics in general.

Chuo kina sheria zake. Zimevunjwa. Mwanafunzi ame-disco. Fine. Lakini hapohapo kuna nafasi ya ku-appeal. Ndiyo njia pekee na imewarudisha wengi masomoni baada ya kupatwa na mikasa kama huyu mwanafunzi.

Pamoja na ku-appeal, lazima mwanafunzi husika asote kidogo mtaani. sasa hawa jamaa walikuwa wanataka arudishwe sasa hivi.

How come? Wiki ya 13-14. Walimu wako bize kuandaa tests na UE's.


Kila jambo linatafutiwa ufumbuzi kwa wakati wake.

Ishu za kudisco huwa zinatolewa maamuzi kipindi cha mpito kuelekea mwaka mwingine wa masomo.

ndo maana nasema hawa watoto wame-screw!!

Mkuu nimekupata kabisa. next time ukiona na mimi nime-screw pliz piga rungu lako bila kuona haya kwamba unaheshimu hoja zangu au la. mimi si binadamu bana?
 
Back
Top Bottom