Clouds yaipotezea UKAWA

Kwani hapo waliokereka ni Clouds FM ama ni wananchi? Ina maana akina Babra na PJ pamoja na Mbigwa wanawakilisha waTanzania 47Millions

Wao wamepata fursa ya kutoa ya moyoni kwakuwa wako radioni, jiulize je ni wangapi hawana pa kusemea na wamekelwa na hili jambo?
 
mimi pia nilisikia na kujikuta nasema Uchi wa akili ni m-baya kuliko uchi wa mwili, yaani clouds wanadhani wanawakilishwa pale bungeni? na
Kuwa maoni yao ndio yanajadiliwa?

kweli tumedumazwa katika maisha ya kitumwa, hata tukifunguliwa tuwe huru hatuwezi.
 
Nikiwa katika foleni kuelekea kuwajibika, napenda kusikiliza uchambuzi wa magazeti kutoka ktk radio tofauti tofauti,
Nimefungulia radio clouds, wakati Paul James (PJ) akichambua magazeti walipofikia kusoma habari ya Ukawa, Barbara Hassan akamwambia PJ hawa tuwapotezee maana wao wametupotezea, badala ya kurudi bungeni kusimamia tupate katiba nzuri wameamua kutupotezea basi nasi tusiwape kichwa tuwapotezee.
Kauli ambayo imeungwa mkono na PJ na Mbwiga na kuendelea kusoma habari zingine.
Hii inaonyesha ni kiasi gani wananchi wamekereka na ukawa waliokuwa wanawategemea kuleta changamoto kubwa ktk bunge la katiba hatimae kupata katiba nzuri
Je maamuzi yao yametokana na uchanga wa uzoefu ktk siasa hasa ktk mambo makubwa kabwa kama katiba kwa kutojua athari zake? Au ni kususa baada ya kuona matumaini yao kuona yamepotea ya kuivunja Tanzania? Maana kama ni kuleta machafuko hilo wasitegemee maana waTanzania hatujakulia ktk mazingira hayo??
Nawakilisha.
Clouds kwanza labda hapa Dsm ndo kunawatu wanaendelea kuisikiliza!
Hata hivyo kama una akili zako huwezi kuisikiliza clouds!
Hawa husikilizwa na watoto wadogo na wale wasiojitambua kwa ajili ya kujifunza nyimbo za kipuuzi na umebea wa kitaa,vigodoro!
Binafsi nilishindwa kujuawaga kina nani ni wanaume maana utasikia sauti za kiume zinaongea kuliko hata wanawake watangazaji na ni upuuzi mtupu kwa mwenye akili!
Bifu za kike za kuwanunia wasanii wanao-hustle kivyao! hovyo tupu!
 
Kwa wewe kusikiliza tu clauds tayari kulionyesha wewe sio mtu makini!!plus hiyo conclusion yako....sina cha kusema zaidi!!
 
Wao wamepata fursa ya kutoa ya moyoni kwakuwa wako radioni, jiulize je ni wangapi hawana pa kusemea na wamekelwa na hili jambo?

Na je jiulize ni wangapi wamefurahishwa na maamuzi ya UKAWA lakini hawana pa kusemea kama hao akina Babra na PJ?
 
Nikiwa katika foleni kuelekea kuwajibika, napenda kusikiliza uchambuzi wa magazeti kutoka ktk radio tofauti tofauti,
Nimefungulia radio clouds, wakati Paul James (PJ) akichambua magazeti walipofikia kusoma habari ya Ukawa, Barbara Hassan akamwambia PJ hawa tuwapotezee maana wao wametupotezea, badala ya kurudi bungeni kusimamia tupate katiba nzuri wameamua kutupotezea basi nasi tusiwape kichwa tuwapotezee.
Kauli ambayo imeungwa mkono na PJ na Mbwiga na kuendelea kusoma habari zingine.
Hii inaonyesha ni kiasi gani wananchi wamekereka na ukawa waliokuwa wanawategemea kuleta changamoto kubwa ktk bunge la katiba hatimae kupata katiba nzuri
Je maamuzi yao yametokana na uchanga wa uzoefu ktk siasa hasa ktk mambo makubwa kabwa kama katiba kwa kutojua athari zake? Au ni kususa baada ya kuona matumaini yao kuona yamepotea ya kuivunja Tanzania? Maana kama ni kuleta machafuko hilo wasitegemee maana waTanzania hatujakulia ktk mazingira hayo??
Nawakilisha.
Duh...safi sana. Hawa sijui nani kawaambia wakiua tanzania ndio wataingia ikulu!
 
Kusaga mmiliki ni kada wa chama tawala, , kibonde ndio Mc wao kila kukicha, na wanatumia viwanja vya ccm ktk fiesta unategemea wataunga mkono ukawa???
NJAA KITU MBAYA SANA , INAFANYA RADIO ZINAUZA UFAHAMU WAO !!

Usisahau, kuna yule baba yao aliekufaga, wakamzika makaburi ya K'ndoni, mkuu wa kaya alitoa wasifu wake, na kumsifia kuwa alikuwa Mwana-TANU mtiifu!
 
Sasa hiyo Rasimu ya katiba ilipelekwa bungeni kufanya nini kama hamtaki mabadiliko? Warioba alitakiwa akimaliza kazi yao angeipeleka kwa wananchi ipigiwe kura iwe katiba kamili, ni upuuzi kupinga isijadiliwe na nufanyiwa marekebisho kwa manufaa ya wachache.

Mkuu Rich
ww ndio upo mjini una ufahamu huu? kama hauna msukumo wowote nyuma yako,basi kuna haja ya kureform structure ya mitaala ya elimu kuanzia chekechea hadi chuo kikuu
 
Mie mwenyewe nawapotezea maana wamekula hela zetu kwanza afu wanakimbia
 
Ni wananchi. Wa Tanzania, na ni baadhi tu ya wananchi waliokereka na ukawa, ila wao wamepata fursa ya chombo kwa kutoa duku duku lao, je ni wangapi hawana pa kusemea?

Vidagaa mnawapotezea UKAWA, vigogo wanahaha kupata suluhu na ukawa
 
Nikiwa katika foleni kuelekea kuwajibika, napenda kusikiliza uchambuzi wa magazeti kutoka ktk radio tofauti tofauti,
Nimefungulia radio clouds, wakati Paul James (PJ) akichambua magazeti walipofikia kusoma habari ya Ukawa, Barbara Hassan akamwambia PJ hawa tuwapotezee maana wao wametupotezea, badala ya kurudi bungeni kusimamia tupate katiba nzuri wameamua kutupotezea basi nasi tusiwape kichwa tuwapotezee.
Kauli ambayo imeungwa mkono na PJ na Mbwiga na kuendelea kusoma habari zingine.
Hii inaonyesha ni kiasi gani wananchi wamekereka na ukawa waliokuwa wanawategemea kuleta changamoto kubwa ktk bunge la katiba hatimae kupata katiba nzuri
Je maamuzi yao yametokana na uchanga wa uzoefu ktk siasa hasa ktk mambo makubwa kabwa kama katiba kwa kutojua athari zake? Au ni kususa baada ya kuona matumaini yao kuona yamepotea ya kuivunja Tanzania? Maana kama ni kuleta machafuko hilo wasitegemee maana waTanzania hatujakulia ktk mazingira hayo??
Nawakilisha.

Babra Hassani Binti Kagasheki Hamisi(Mb) ametoka redio ya kagasheki bukoba na kuja clauds. Simtegemie aisapoti ukawa. Hata hivy tunajua clouds ni redio ya ccm hawana jipya la kutwambia. Watanzania tuko nyuma ya ukawa.
 
toka lini radio ya wafu ikawa upande wa wananchi hao watangazaji wao ni kuisifia serikali 2 akuna jingine kumbukeni kibonde kipindi cha mgomo wa wanafunzi waongezewe mkopo alisema nini hiyo radio ya maslai ya chama sio wananchi watu wakikaa redioni wanasubiri habari za ukawa co ccm
 
Hivi Barbara kaolewa? Anaitaji ku-su----wa:A S wink:
Nasikia hajaolewa. Ana mtoto mmoja ambaye bahati mbaya alizalishwa na mume wa mtu. Mwenye mwenye mume akamkomalia asimuone na mume wake. Kwa sasa ni single mother ready to mingle with anybody!
 
Ni wananchi. Wa Tanzania, na ni baadhi tu ya wananchi waliokereka na ukawa, ila wao wamepata fursa ya chombo kwa kutoa duku duku lao, je ni wangapi hawana pa kusemea?

Wakati unajiuliza ni wangapi hawana pa kutolea dukuduku lao kuhusu UKAWA jiulize pia ni wangapi hawana pa kutolea dukuduku lao kuhusu uchakavhuaji wa maoni ya tume ya Warioba yaliofanywa na CCM
 
Nikiwa katika foleni kuelekea kuwajibika, napenda kusikiliza uchambuzi wa magazeti kutoka ktk radio tofauti tofauti,
Nimefungulia radio clouds, wakati Paul James (PJ) akichambua magazeti walipofikia kusoma habari ya Ukawa, Barbara Hassan akamwambia PJ hawa tuwapotezee maana wao wametupotezea, badala ya kurudi bungeni kusimamia tupate katiba nzuri wameamua kutupotezea basi nasi tusiwape kichwa tuwapotezee.
Kauli ambayo imeungwa mkono na PJ na Mbwiga na kuendelea kusoma habari zingine.
Hii inaonyesha ni kiasi gani wananchi wamekereka na ukawa waliokuwa wanawategemea kuleta changamoto kubwa ktk bunge la katiba hatimae kupata katiba nzuri
Je maamuzi yao yametokana na uchanga wa uzoefu ktk siasa hasa ktk mambo makubwa kabwa kama katiba kwa kutojua athari zake? Au ni kususa baada ya kuona matumaini yao kuona yamepotea ya kuivunja Tanzania? Maana kama ni kuleta machafuko hilo wasitegemee maana waTanzania hatujakulia ktk mazingira hayo??
Nawakilisha.

Threads zingine mnazoleta humu mnajidhalilisha tu, Clouds wako km vibaraka wa Ccm, na wanafaidika an kuiunga mkono
 
Back
Top Bottom