Clouds yaipotezea UKAWA

Ni wananchi. Wa Tanzania, na ni baadhi tu ya wananchi waliokereka na ukawa, ila wao wamepata fursa ya chombo kwa kutoa duku duku lao, je ni wangapi hawana pa kusemea?

Na waliondika hiyo habari za Ukawa kwenye gazeti ni wanyarwanda? Use a little bit common sense you have kijana
 
Niliacha kusikiliza uchambuzi wa redio clouds zamani sana.Hakuna tofauti kati ya Uhuru,TBC na clouds
 
Nikiwa katika foleni kuelekea kuwajibika, napenda kusikiliza uchambuzi wa magazeti kutoka ktk radio tofauti tofauti,Nimefungulia radio clouds, wakati Paul James (PJ) akichambua magazeti walipofikia kusoma habari ya Ukawa, Barbara Hassan akamwambia PJ hawa tuwapotezee maana wao wametupotezea, badala ya kurudi bungeni kusimamia tupate katiba nzuri wameamua kutupotezea basi nasi tusiwape kichwa tuwapotezee.
Kauli ambayo imeungwa mkono na PJ na Mbwiga na kuendelea kusoma habari zingine.Hii inaonyesha ni kiasi gani wananchi wamekereka na ukawa waliokuwa wanawategemea kuleta changamoto kubwa ktk bunge la katiba hatimae kupata katiba nzuri Je maamuzi yao yametokana na uchanga wa uzoefu ktk siasa hasa ktk mambo makubwa kabwa kama katiba kwa kutojua athari zake? Au ni kususa baada ya kuona matumaini yao kuona yamepotea ya kuivunja Tanzania? Maana kama ni kuleta machafuko hilo wasitegemee maana waTanzania hatujakulia ktk mazingira hayo??
Nawakilisha.

Kikwete+na+mtangazaji+wa+Cloud+FM+Mbwiga+Mbwiguke.jpg


11.jpg
 
Nikiwa katika foleni kuelekea kuwajibika, napenda kusikiliza uchambuzi wa magazeti kutoka ktk radio tofauti tofauti,
Nimefungulia radio clouds, wakati Paul James (PJ) akichambua magazeti walipofikia kusoma habari ya Ukawa, Barbara Hassan akamwambia PJ hawa tuwapotezee maana wao wametupotezea, badala ya kurudi bungeni kusimamia tupate katiba nzuri wameamua kutupotezea basi nasi tusiwape kichwa tuwapotezee.
Kauli ambayo imeungwa mkono na PJ na Mbwiga na kuendelea kusoma habari zingine.
Hii inaonyesha ni kiasi gani wananchi wamekereka na ukawa waliokuwa wanawategemea kuleta changamoto kubwa ktk bunge la katiba hatimae kupata katiba nzuri
Je maamuzi yao yametokana na uchanga wa uzoefu ktk siasa hasa ktk mambo makubwa kabwa kama katiba kwa kutojua athari zake? Au ni kususa baada ya kuona matumaini yao kuona yamepotea ya kuivunja Tanzania? Maana kama ni kuleta machafuko hilo wasitegemee maana waTanzania hatujakulia ktk mazingira hayo??
Nawakilisha.

Sasa hapo ndio umeongea nin!biased thread.
 
Na waliondika hiyo habari za Ukawa kwenye gazeti ni wanyarwanda? Use a little bit common sense you have kijana

Ni waandishi wa habari wa gazeti la mwanasiasa mmoja wapo aliegoma kuingia bungeni, isitoshe wafanya kazi wake wote ni wanachama wa chama hicho ambacho card ya uanachama waliletewa ofisini.
 
Clouds ni chombo cha habari cha hovyo sana..! Kuna tetesi kuwa familia ya Kikwete ina hisa clouds na hata tunavyoongea hapa Gerald Hando ndiye reporter mkuu katika ziara ya Kikwete Marekani.! Just imagine clouds wamechukua majukumu yote ya TBC.Watangazaji wake wanaingia Ikulu kihunihuni na jinsi watakavyo! Hivyo sitashangaa kwa hawa wahuni 'clouds' kuwa katika muelekeo huo! Hiki kituo kimejipambanua wazi wazi kufanya mambo ya ajabu ili mkono uende kinywani.Ruge kwa sasa naye ni miongoni mwa washauri wa Kikwete na kwa hilo ndiyo maana hata Kikwete hana jipya kwa sasa!
 
Nikiwa katika foleni kuelekea kuwajibika, napenda kusikiliza uchambuzi wa magazeti kutoka ktk radio tofauti tofauti,
Nimefungulia radio clouds, wakati Paul James (PJ) akichambua magazeti walipofikia kusoma habari ya Ukawa, Barbara Hassan akamwambia PJ hawa tuwapotezee maana wao wametupotezea, badala ya kurudi bungeni kusimamia tupate katiba nzuri wameamua kutupotezea basi nasi tusiwape kichwa tuwapotezee.
Kauli ambayo imeungwa mkono na PJ na Mbwiga na kuendelea kusoma habari zingine.
Hii inaonyesha ni kiasi gani wananchi wamekereka na ukawa waliokuwa wanawategemea kuleta changamoto kubwa ktk bunge la katiba hatimae kupata katiba nzuri
Je maamuzi yao yametokana na uchanga wa uzoefu ktk siasa hasa ktk mambo makubwa kabwa kama katiba kwa kutojua athari zake? Au ni kususa baada ya kuona matumaini yao kuona yamepotea ya kuivunja Tanzania? Maana kama ni kuleta machafuko hilo wasitegemee maana waTanzania hatujakulia ktk mazingira hayo??
Nawakilisha.

Yaani mtu mwenye akili timamu unaweza kuchukua mawazo/maoni ya Barbara Hassan, Mbwiga na PJ kuwa sahihi kuliko wanahabari wa ukweli waliotamalaki katika tasnia yote ya habari kuanzia redio, television, magazeti na mitandao ya kijamii wanaowaunga mkono UKAWA kwa uamuzi wao wa busara waliouchukua wa kutokubali kuwa ruber stamp kwa katiba ya ccm!?

ITV, Channel Ten, Startv, RFA, Radio Tumaini, Wapo Radio n.k wametangaza ama kusoma habari za UKAWA sasa radio ya wafu isipotangaza habari za Ukawa unadhani kuna athari kubwa kiasi gani kwa wananchi? hawana imapct yoyote hao kwakuwa vyombo vya habari vinavyotangza habari za ukawa ni vingi mno kuliko hao wasiotangaza.
 
Nikiwa katika foleni kuelekea kuwajibika, napenda kusikiliza uchambuzi wa magazeti kutoka ktk radio tofauti tofauti,
Nimefungulia radio clouds, wakati Paul James (PJ) akichambua magazeti walipofikia kusoma habari ya Ukawa, Barbara Hassan akamwambia PJ hawa tuwapotezee maana wao wametupotezea, badala ya kurudi bungeni kusimamia tupate katiba nzuri wameamua kutupotezea basi nasi tusiwape kichwa tuwapotezee.
Kauli ambayo imeungwa mkono na PJ na Mbwiga na kuendelea kusoma habari zingine.
Hii inaonyesha ni kiasi gani wananchi wamekereka na ukawa waliokuwa wanawategemea kuleta changamoto kubwa ktk bunge la katiba hatimae kupata katiba nzuri
Je maamuzi yao yametokana na uchanga wa uzoefu ktk siasa hasa ktk mambo makubwa kabwa kama katiba kwa kutojua athari zake? Au ni kususa baada ya kuona matumaini yao kuona yamepotea ya kuivunja Tanzania? Maana kama ni kuleta machafuko hilo wasitegemee maana waTanzania hatujakulia ktk mazingira hayo??
Nawakilisha.

Hata mimi nimewasikia hasa huyo BABLA Hassan sijui ni mwanamke au kbinti. Ki ukweli wanaonekana wazi kwamba hawajitambui. Inaweezekana pia wanafadika na mfumo wa wa sasa hivyo wanajali saana matumbo yao bila kuwafikili ndugu zao

Kwa kifupi ni watu wanafiki sana wenye uelewa mdogo
 
Mleta mada na Clouds wote nyie magamba kwa hyo huu uduvi kawaambie LUMUMBA
 
Hii nchi ikipata ukombozi itabidi waondoke maana hicho kituo chao ndio kitabadilishwa kwanza
 
Nikiwa katika foleni kuelekea kuwajibika, napenda kusikiliza uchambuzi wa magazeti kutoka ktk radio tofauti tofauti,
Nimefungulia radio clouds, wakati Paul James (PJ) akichambua magazeti walipofikia kusoma habari ya Ukawa, Barbara Hassan akamwambia PJ hawa tuwapotezee maana wao wametupotezea, badala ya kurudi bungeni kusimamia tupate katiba nzuri wameamua kutupotezea basi nasi tusiwape kichwa tuwapotezee.
Kauli ambayo imeungwa mkono na PJ na Mbwiga na kuendelea kusoma habari zingine.
Hii inaonyesha ni kiasi gani wananchi wamekereka na ukawa waliokuwa wanawategemea kuleta changamoto kubwa ktk bunge la katiba hatimae kupata katiba nzuri
Je maamuzi yao yametokana na uchanga wa uzoefu ktk siasa hasa ktk mambo makubwa kabwa kama katiba kwa kutojua athari zake? Au ni kususa baada ya kuona matumaini yao kuona yamepotea ya kuivunja Tanzania? Maana kama ni kuleta machafuko hilo wasitegemee maana waTanzania hatujakulia ktk mazingira hayo??
Nawakilisha.

Kaka sio uchanga ila tumia akili kaka,Unaenda kujadili mustakabali wa nchi na watu wenye malengo mengne na hata kuteuliwa,Mzee aliteia weng toka kwake so huwez ukaptisha wanachotaka wananchi zaid ya wanachokitaka wao.
 
Nasikia jamaa huwa anawasokomeka hogo la jang'ombe ndio anawapa kazi.
Sasa msokomekaji ni sisiem, unategemea vijakazi akina Babura wataongeaje!
 
Kaka sio uchanga ila tumia akili kaka,Unaenda kujadili mustakabali wa nchi na watu wenye malengo mengne na hata kuteuliwa,Mzee aliteia weng toka kwake so huwez ukaptisha wanachotaka wananchi zaid ya wanachokitaka wao.

Sijakuelewa vizuri.
 
Nikiwa katika foleni kuelekea kuwajibika, napenda kusikiliza uchambuzi wa magazeti kutoka ktk radio tofauti tofauti,
Nimefungulia radio clouds, wakati Paul James (PJ) akichambua magazeti walipofikia kusoma habari ya Ukawa, Barbara Hassan akamwambia PJ hawa tuwapotezee maana wao wametupotezea, badala ya kurudi bungeni kusimamia tupate katiba nzuri wameamua kutupotezea basi nasi tusiwape kichwa tuwapotezee.
Kauli ambayo imeungwa mkono na PJ na Mbwiga na kuendelea kusoma habari zingine.
Hii inaonyesha ni kiasi gani wananchi wamekereka na ukawa waliokuwa wanawategemea kuleta changamoto kubwa ktk bunge la katiba hatimae kupata katiba nzuri
Je maamuzi yao yametokana na uchanga wa uzoefu ktk siasa hasa ktk mambo makubwa kabwa kama katiba kwa kutojua athari zake? Au ni kususa baada ya kuona matumaini yao kuona yamepotea ya kuivunja Tanzania? Maana kama ni kuleta machafuko hilo wasitegemee maana waTanzania hatujakulia ktk mazingira hayo??
Nawakilisha.


hawajui walipotaka na wanapoelekea
 
Nikiwa katika foleni kuelekea kuwajibika, napenda kusikiliza uchambuzi wa magazeti kutoka ktk radio tofauti tofauti,
Nimefungulia radio clouds, wakati Paul James (PJ) akichambua magazeti walipofikia kusoma habari ya Ukawa, Barbara Hassan akamwambia PJ hawa tuwapotezee maana wao wametupotezea, badala ya kurudi bungeni kusimamia tupate katiba nzuri wameamua kutupotezea basi nasi tusiwape kichwa tuwapotezee.
Kauli ambayo imeungwa mkono na PJ na Mbwiga na kuendelea kusoma habari zingine.
Hii inaonyesha ni kiasi gani wananchi wamekereka na ukawa waliokuwa wanawategemea kuleta changamoto kubwa ktk bunge la katiba hatimae kupata katiba nzuri
Je maamuzi yao yametokana na uchanga wa uzoefu ktk siasa hasa ktk mambo makubwa kabwa kama katiba kwa kutojua athari zake? Au ni kususa baada ya kuona matumaini yao kuona yamepotea ya kuivunja Tanzania? Maana kama ni kuleta machafuko hilo wasitegemee maana waTanzania hatujakulia ktk mazingira hayo??
Nawakilisha.


Ni lini hawa Clauds waliwahi kupingana na ccm?
 
Nikiwa katika foleni kuelekea kuwajibika, napenda kusikiliza uchambuzi wa magazeti kutoka ktk radio tofauti tofauti,
Nimefungulia radio clouds, wakati Paul James (PJ) akichambua magazeti walipofikia kusoma habari ya Ukawa, Barbara Hassan akamwambia PJ hawa tuwapotezee maana wao wametupotezea, badala ya kurudi bungeni kusimamia tupate katiba nzuri wameamua kutupotezea basi nasi tusiwape kichwa tuwapotezee.
Kauli ambayo imeungwa mkono na PJ na Mbwiga na kuendelea kusoma habari zingine.
Hii inaonyesha ni kiasi gani wananchi wamekereka na ukawa waliokuwa wanawategemea kuleta changamoto kubwa ktk bunge la katiba hatimae kupata katiba nzuri
Je maamuzi yao yametokana na uchanga wa uzoefu ktk siasa hasa ktk mambo makubwa kabwa kama katiba kwa kutojua athari zake? Au ni kususa baada ya kuona matumaini yao kuona yamepotea ya kuivunja Tanzania? Maana kama ni kuleta machafuko hilo wasitegemee maana waTanzania hatujakulia ktk mazingira hayo??
Nawakilisha.

Kwani hapo waliokereka ni Clouds FM ama ni wananchi? Ina maana akina Babra na PJ pamoja na Mbigwa wanawakilisha waTanzania 47Millions
 
Back
Top Bottom