Panda Kapesi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2011
- 345
- 220
Eti rich Pol! wakati ni poor brained cretin!
Akili ndogo utaijua tu. Kwa hiyo hao watangazaji wako wawili ndio watanzania wote unaosema wamekerekwa na ukawa. Very poor mind, very poor thinking.
Akiri yako ndogo sana! Unadhani waTanzania wote wana akiri kama ya ukawa??!. Utakuwa failure ktk maisha yako angalia sasa katiba inapitishwa nyie toeni macho tu.
Haagh!! We nawe huu uharo Rich Pol ulishaisha harufu wewe tena umekuja kuukojolea? Agh mnharibia watu mood.Hivi Kuna Watz bado wanasikiliza hiyo radio ya mashoga?
inaonyesha wazi kuwa wewe ndio shogaHivi Kuna Watz bado wanasikiliza hiyo radio ya mashoga?
Nikiwa katika foleni kuelekea kuwajibika, napenda kusikiliza uchambuzi wa magazeti kutoka ktk radio tofauti tofauti.
Nimefungulia radio clouds, wakati Paul James (PJ) akichambua magazeti walipofikia kusoma habari ya Ukawa, Barbara Hassan akamwambia PJ hawa tuwapotezee maana wao wametupotezea.
Badala ya kurudi bungeni kusimamia tupate katiba nzuri wameamua kutupotezea basi nasi tusiwape kichwa tuwapotezee.
Kauli ambayo imeungwa mkono na PJ na Mbwiga na kuendelea kusoma habari zingine.
Hii inaonyesha ni kiasi gani wananchi wamekereka na ukawa waliokuwa wanawategemea kuleta changamoto kubwa ktk bunge la katiba hatimae kupata katiba nzuri.
Je maamuzi yao yametokana na uchanga wa uzoefu ktk siasa hasa katika mambo makubwa kubwa kama katiba kwa kutojua athari zake?
Au ni kususa baada ya kuona matumaini yao kuona yamepotea ya kuivunja Tanzania?
Maana kama ni kuleta machafuko hilo wasitegemee maana waTanzania hatujakulia katika mazingira hayo??
Nawasilisha.
Hivi Kuna Watz bado wanasikiliza hiyo radio ya mashoga?