kwani ni lazima clouds waipende chadema,au uhai wa chadema upo mikononi mwa clouds,stop kutegemea mibuyu,clouds sio redio ya chama,wana uhuru wa kuamua nn washabikie na nn wasishabibie na ukute editorial policy yao ndo inasema hivyo....
Imejaa ushabiki wa kisiasa hasa kuiponda CHADEMA na kuifagilia CCM.Washabiki wa wazi wa jambo hili pale ni Paul James Swea,Efraim Kibonde na Gerald Hando.Kwenye uchambuzi wa magazeti,gazeti lolote linaloponda CHADEMA na kuisifia CCM litasomwa kwa hisia kali na kwa mbwembwe. Kwani Clouds nao ni redio ya chama kama ilivyo Redio Uhuru ya CCM?
Si vyema kwa chombo huru cha habari kushabikia chama kimojawapo cha siasa.Ni kinyume na sheria ya vyombo vya habari. Hali hii isipokemewa yaweza kuleta machafuko kama yale ya Rwanda na Burundi ya mwaka 1994. Mimi naanza kuikemea. Ni tabia ya kuachwa mara moja.
Hta wako ni mtazamo tuHakuna hoja hapa. Ni mtazamo tu.
Imejaa ushabiki wa kisiasa hasa kuiponda CHADEMA na kuifagilia CCM.Washabiki wa wazi wa jambo hili pale ni Paul James Swea,Efraim Kibonde na Gerald Hando.Kwenye uchambuzi wa magazeti,gazeti lolote linaloponda CHADEMA na kuisifia CCM litasomwa kwa hisia kali na kwa mbwembwe. Kwani Clouds nao ni redio ya chama kama ilivyo Redio Uhuru ya CCM?
Si vyema kwa chombo huru cha habari kushabikia chama kimojawapo cha siasa.Ni kinyume na sheria ya vyombo vya habari. Hali hii isipokemewa yaweza kuleta machafuko kama yale ya Rwanda na Burundi ya mwaka 1994. Mimi naanza kuikemea. Ni tabia ya kuachwa mara moja.
Kama wewe ni mtu mstrabu(kitu ambacho naamini ndivyo ulivyo)utaniomba msamaha,lkn pia kama umeenda shule na kuelimika,na kama kichwa chako hakina funza,basi utakumbuka hukumu ya kesi ya mengi dhidi ya mbunge malima bungeni juu ya Mengi kutokuzipa habari za rais kipaumbele kwenye taarifa ya habari......otherwise nahisi you are disappointment to JF thinkers kwa kudhani kuwa kila anayeshabikia chadema lazima aichukie clouds fm au kila mwana CCM lazima alipende gazeti laq uhuru.Shame on your forefathers for bringing a tabula rasa like you in this forum.After all Kibonde sio mmiliki wa ile redio ni mtanagazi tu,ameajiriwa kwa editorial policy ya redio,hawezi kufanya kinyume,kosa lake lipi?aache kazi mamako ndo atamwajiri!!!!!!!Hawana uhuru wa kuamua nini washabikie emu izo pumba zako kazipeleke kwa dada zako wakusaidie ata kukupa mwongozo sababu wewe utakuwa umepakatwa na mzee wa VIJISENTI.
Imejaa ushabiki wa kisiasa hasa kuiponda CHADEMA na kuifagilia CCM.Washabiki wa wazi wa jambo hili pale ni Paul James Swea,Efraim Kibonde na Gerald Hando.Kwenye uchambuzi wa magazeti,gazeti lolote linaloponda CHADEMA na kuisifia CCM litasomwa kwa hisia kali na kwa mbwembwe. Kwani Clouds nao ni redio ya chama kama ilivyo Redio Uhuru ya CCM?
Si vyema kwa chombo huru cha habari kushabikia chama kimojawapo cha siasa.Ni kinyume na sheria ya vyombo vya habari. Hali hii isipokemewa yaweza kuleta machafuko kama yale ya Rwanda na Burundi ya mwaka 1994. Mimi naanza kuikemea. Ni tabia ya kuachwa mara moja.[/QU ungeanza kwanza kuwashauri TANZANIA DAIMA waache unazi uliopitiliza kwa chama cha mmiliki wao kwa mantik ileile uloiandika hapo juu kwakuwa kwako ww CDM wakikosolewa basi chombo kinakuwa kibaguzi.
Time will tell.., peoplessssssss....
Ngoja CDM kitakapokuwa chama tawala tuone kama wataendelea kukiponda.
Adui mpende hata kama hakupendi.., dunia duara what goes around comes around.
Heri ya mwaka mpya.
Imejaa ushabiki wa kisiasa hasa kuiponda CHADEMA na kuifagilia CCM.Washabiki wa wazi wa jambo hili pale ni Paul James Swea,Efraim Kibonde na Gerald Hando.Kwenye uchambuzi wa magazeti,gazeti lolote linaloponda CHADEMA na kuisifia CCM litasomwa kwa hisia kali na kwa mbwembwe. Kwani Clouds nao ni redio ya chama kama ilivyo Redio Uhuru ya CCM?
Si vyema kwa chombo huru cha habari kushabikia chama kimojawapo cha siasa.Ni kinyume na sheria ya vyombo vya habari. Hali hii isipokemewa yaweza kuleta machafuko kama yale ya Rwanda na Burundi ya mwaka 1994. Mimi naanza kuikemea. Ni tabia ya kuachwa mara moja.