Vumbi la congo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 646
- 945
Ngoja nichafue baraza,,eti wadau mnaonaje 2020 tukafanya mapinduzi ya kisiasa mpaka wazee wa lumumba wanyooshe mikono kama clouds
isome tena barua ya manispaa,Hiyo barua ya halmashauri ya wilaya ya Kinondoni mbona haina muhuri wa ofisi?
Pia,kwanini manispaa hawakutoa zuio mapema ili wahusika waangalie namna nyingine ya kuweza kujipanga na badala yake wanatoa zuio dakika za mwisho wakati wahusika (CMG) wameshafunga vyombo (speakers,stage and pioneer machine)
Vilevile,hawa CMG wakati wanaandaa hilo tamasha hawakuwasiliana na manispaa?
Huu naona ni utoto wa hali ya juu sana kuwahi kufanywa na mamlaka kama siyo Bash-baby from Kolomije land tangu nchi yetu kupata uhuru!
Caro Ndosi kaandika nini wapi?Naona wamepata aibu baada ya mwanadada CarolNdosi kuwavua nguo kwa kuujulisha umma kuhusu roho mbaya zao.
Haipendeze kabisa mwanaume mzima kuwa na roho mbaya,roho ya husda na chuki. Hizo ni tabia za kike.
power is not parmernentPaul Makonda hawatamuweza kama Chadema walivyomshindwa
kuna uzi humu jukwaani tafuta usome!Mkuu funguka ilikuwaje?
Mwandishi Kwan unateseka
Kwani Chuga fiesta haikufanyikia Sheikh Abeid mkuu?Caro Ndosi kaandika nini wapi?
Ila jamaa wana roho mbaya sana ,kitendo walichowafanyia akina Joel Lwaga kule Arusha had wakalazimika kuhamisha tamasha kutoka uwanja wa sheick abeid karume had kupeleka church,huku wakilazimika kuingia hasara kubwa na yote kwa sababu ya figisu zao ndicho wacost
wamenyimwa kibali kutumia leaders club....... awali walipewa kibali ila sasa manispaa imetengua!.....Isije ikawa jamaa yetu mgonjwa amefariki,wanaficha tu
Noma sana aisee.. mbuyu unaanguka kirahisiiiiBashite ni mastermind mkubwa sana wa hii kitu kawaua huku anawachekea
Wanafiki huwajui mkuu
Wanazimaje fiesta wakati hata Mkuku alishawapigia LIVE sijui mwaka gani???
Nazani siku ile ilikuwa "zima zima zima mziki mkuu anataka kuongea na vijana wake..." nawaza tu,
Sbb hata sijazielewa vizur