WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
Kuna Kipindi cha Clouds sasa hivi kinaendelea.Mada ni Mume wa mtu au girlfriend wa mume wa mtu ni mtamu!
Loveness Love - the Diva anafagilia sana na kusifia... ati maboyfriend ni wachafu wananuka midomo, hawaogi! Waume za watu wanaogeshwa na wake zao, wanapuliziwa mapafyumu.Wakija kwako wasafiiiiiiiii. Mume wa mtu akija kwako raha tupu..... anakuja kwa kazi moja tu anaondoka.Hakuonei wivu wala nini......
Sasa wanaongea na B12... kuhusu sex ... experiences zao nk.
Hivi siku hizi watu wamechunwa uso kama samaki hawaoni aibu kuongea mambo ya faragha bayana?Utadhani hawajazaliwa n mama na baba zao! Hivi kama ndio mwanao anaongea hivi, mzazi utajisikiaje? NASHINDWA HATA KUANDIKA UJINGA WANAOONGELEA.
Jamani mimi naona aibu kwa niaba yao!
Saa hizi ndio kwanza saa 4, watoto bado hawajalala ... kweli maadili yataacha kumomonyoka?
Loveness Love - the Diva anafagilia sana na kusifia... ati maboyfriend ni wachafu wananuka midomo, hawaogi! Waume za watu wanaogeshwa na wake zao, wanapuliziwa mapafyumu.Wakija kwako wasafiiiiiiiii. Mume wa mtu akija kwako raha tupu..... anakuja kwa kazi moja tu anaondoka.Hakuonei wivu wala nini......
Sasa wanaongea na B12... kuhusu sex ... experiences zao nk.
Hivi siku hizi watu wamechunwa uso kama samaki hawaoni aibu kuongea mambo ya faragha bayana?Utadhani hawajazaliwa n mama na baba zao! Hivi kama ndio mwanao anaongea hivi, mzazi utajisikiaje? NASHINDWA HATA KUANDIKA UJINGA WANAOONGELEA.
Jamani mimi naona aibu kwa niaba yao!
Saa hizi ndio kwanza saa 4, watoto bado hawajalala ... kweli maadili yataacha kumomonyoka?
CLOUDS... ACHENI KUTUHARIBIA WATOTO WETU!!!!!!