We muongoHakuna degree yenye ubora zaidi ya nyingine
NB;kuna mtu kasoma sociology UDOM ila ameajiriwa na analipwa vzuri kwenye international organization kuliko aliesomea MD muhimbili
Kama huna exposure na kitu lazma ukatae...hata mm nishawahi kukataa kama kuna mtu analipwa million 60 kwa mwez hapa hapa tanzaniaWe muongo
Nakufundisha siku nyingine usijifanye mjuaji na kua mbishi kama hauna details za kutosha kwenye jambo husikaHakuna degree yenye ubora zaidi ya nyingine
NB;kuna mtu kasoma sociology UDOM ila ameajiriwa na analipwa vzuri kwenye international organization kuliko aliesomea MD muhimbili