Francis Baraka
Member
- May 13, 2010
- 13
- 2
Jamani wana jamii naomba tuchambue nini maana ya report iliyotolewa na CIA juu ya ukuaji ama ongezeko la watu kwa kiasi kikubwa huku kundi tegemezi likionekana tatizo kwa uhai wa taifa letu ukizingatia idadi ya wenye kuzalisha inaonekana ni ndogo kuliko wahitaji.
Binafsi sina uhakika na takwimu zilizotolewa na CIA ila JE,nini hasa wanachotutaka?na kama ni kutushauri tu,je ushauri wao uko sahihi?
Wanajamii tafadhali tusibeze hili,naomba tujaribu kufanya upembezi staha ili hili liwe wazi kwetu sote.
Binafsi sina uhakika na takwimu zilizotolewa na CIA ila JE,nini hasa wanachotutaka?na kama ni kutushauri tu,je ushauri wao uko sahihi?
Wanajamii tafadhali tusibeze hili,naomba tujaribu kufanya upembezi staha ili hili liwe wazi kwetu sote.