scolastika
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,779
- 5,551
Kuna dogo kapata four ya 32 sasa anatafta chuo cha maendeleo ya jamii kwa hzo gred kipo kweli,?,kama kitapatikana naomba msaada maana mama yake anahangaika kwel
Kuna dogo kapata four ya 32 sasa anatafta chuo cha maendeleo ya jamii kwa hzo gred kipo kweli,?,kama kitapatikana naomba msaada maana mama yake anahangaika kwel
Usikute wewe ndiye mama mttoKajinga tu kana D moja na C moja zingine zote F alafu mama yake alivo na makonditions utadhan dogo kafaulu
Mzeh,mbna unaonekana una vibe xana,au ww ndo mzaz mwnywe????Kajinga tu kana D moja na C moja zingine zote F alafu mama yake alivo na makonditions utadhan dogo kafaulu
Hapana n mtoto wa ant yangu s vinaend shule kucheza tuMzeh,mbna unaonekana una vibe xana,au ww ndo mzaz mwnywe????
Cyo hvyo mkuu ,kama bdo dgo xana ni kheri kakarist tu coz kwa xaxa nafkir mpka uwe agharau na pass(D) 4 ku-qualify kusoma chuoHapana n mtoto wa ant yangu s vinaend shule kucheza tu
Duh wacha nipeleke mrejeshoCyo hvyo mkuu ,kama bdo dgo xana ni kheri kakarist tu coz kwa xaxa nafkir mpka uwe agharau na pass(D) 4 ku-qualify kusoma chuo
Arudie shule uyo aongeze walau awe na pass 4Kajinga tu kana D moja na C moja zingine zote F alafu mama yake alivo na makonditions utadhan dogo kafaulu