Jamani hivi Mwalimu alipopokea nchi mwaka ule wa uhuru alikuwa na walimu (Profs and Drs) wangapi?? wahandisi?? madaktari?? na kadhalika!! sasa sisi badala ya kujipanga na kutafta namna ya kujiendeleza na kupata a "breakthrough" tunabaki kusema walimu wa vyuo vya dar wawe wanafundisha kwenye vyuo vipya..... ile kitu inaitwa uwiano wa mwalimu kwa wanafunzi nayo tunaiangalia au??
jamani, inabidi tuache kufikiria kutokana na vile tulivyovikuta na kuviona, inabidi tuanze kutumia vipaji vyetu kutafta "any other means necessary" kujiletea maendeleo....
jamani, inabidi tuache kufikiria kutokana na vile tulivyovikuta na kuviona, inabidi tuanze kutumia vipaji vyetu kutafta "any other means necessary" kujiletea maendeleo....