jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 19,358
- 36,568
Maisha ya wanafunzi wa tz hayajawahi kuwa rahis..wanakula mboko za mana halafu wakiingia kitaa waambiwa ajiajiri.Mpaka chuo mnapigwa viboko
#MaendeleoHayanaChama
Maisha ya wanafunzi wa tz hayajawahi kuwa rahis..wanakula mboko za mana halafu wakiingia kitaa waambiwa ajiajiri.Mpaka chuo mnapigwa viboko
Inasikitisha sana.Kwa mfano kwa mwamposa kuna maombi ya maji ya baraka wananyunyuziwa maji kwa viwango vya pesa kuna 50k , 40k, 30k na hapo sasa wajinga wanatoa eti wanapewa baraka na kuombewa mafanikio yaani bila kuchapa kazi kwa juhudi na maarifa huwezi kufanikiwa.lakini watu kama wamerogwa vile
Mbaya zaidi wanafundisha mafunzo hayo kwa vitoto vidogo...wana vi brainwash hatari.Silaha kubwa sana ya biblia na quran ni vitisho na hadithi za kusadikika, ili kuwafanya watu wawe wanyenyekevu yaani mazuzu, kwa mfano kuna mstari kwenye bible unasema asiefanya kazi na asile halafu kuna mstari mwingine unassema kesheni mkiomba sasa kuna wajinga wanakesha wakiomba then kazi hawafanyi kwa ufanisi halafu utawaona wanalia njaa,
Hamna mtu anachukia na Uislamuaaamyn, mkuu nimegundua tosha yetu na mfariji mkuu ni allah pekee huu uzi hata mimi umenionesha makubwa mno niliyokuwa siyajui, kweli waliyoyaficha kwenye nyoyo zao ni makubwa mno..
Wewe utakuwa kuni za huo motoMoto unakungoja wewe unaezuwa uongo.
wewe umejuaje havina faida kwao?..
Jiulize mwenyewe, unakariri Quran mwisho wa siku unapata faida gani zaidi ya kufuga majini na kuwa mnafiki?wewe umejuaje havina faida kwao?..
Acha wachapwe mana wote ni wale wale..Kuchapa viboko wanafunzi wa rika hlil ni upumbavu; inatokana na mtu kukosa hekima ya malezi kwa watoto!
ni jambo la aibu sana kukaririshwa mentality fulani ya uongo kama kuambiwa rocket 🚀 zinatua misri na SA pekee na zinaacha moshi angani halafu unazeeka nayo, majini!?.Jiulize mwenyewe, unakariri Quran mwisho wa siku unapata faida gani zaidi ya kufuga majini na kuwa mnafiki?
Tukiweka kando hayo mambo ya chuki za kidini ambazo ni sahihi kabisa kuzikemea ila kwenye hii video huyu Ostaz ningemvunja mfupa wa pua kabla hajainua hiyo fimbo.Nikutowe kwenye reli ipi wewe poyoyo? Nyie ndiyo mnazua uongo, vipi ukiite chuo cha "Kiislaam" wakati siyo chuo cha Kiislaam? Mna maana gani mnapozua kwenye jibichwa lenu la habari?
Au ni wajinga kiasi hamuelewi maana ya Waislam na Kiislam?
Au mnajazana chuki za kijinga kwa "Uislam in general", mimi nawauliza, Uislam umewakosea nini au umefundisha kipi kibaya hata muwe na chuki za kijinga namna hiyo? Au ni mashetani tu, maana hakuna binadam anaeweza kujitungia chuki tu isipokuwa ana ushetani wa hali ya juu bichwani mwake.
Vipi kwani Mchepuo wako anasemaje kwa hili ndugu yangu? Kwani nasema uongo.Kwani utovu wa nidhamu tunauoana kwa watoto wa vyuo vya ifm,cbe,udom na zile connection zao za uchi uchi.
Hawa watoto wanastahili viboko
Sijawai kujua kwa Nini shule za kiislam hua zinatoa watoto wakatili, watoto wenye ubaguzi na watoto jeuriWanafunzi wa chuo Kikuu cha Waislamu wadai walichapwa viboko.
View attachment 2172271
View attachment 2172273
Tena wakipata hamsa wa ishrini itapendeza sana. Vijana shurti wachapwe tu kwani hakuna namna!Chuo kizuri sana Ahsante Shehk kwa kutoa bakora Safi. Ahsante
Ila jamaa wana mapungufu mengi wanatakiwa kuyarekebisha. Niishie hapo.
"Jamaa " zako wepi wenye mapungufu?Ila jamaa wana mapungufu mengi wanatakiwa kuyarekebisha. Niishie hapo.
Umemaliza kazi. Vyuo vya kipuuziUtofauti huletwa kwa kupika wataalamu na sio mavazi wanayozaa, acheni uzwazwa. Hiko chuo ndio maana kila siku Cha mwisho, Hakuna mwenye akili aliyefaulu vizuri atasoma hapo
Ndugu angalia utapopolewa mpaka ujute. MmaamaeUmemaliza kazi. Vyuo vya kipuuzi
Tatizo dini inachanganywa na elimu dunia. Unakuta huyo mwalimu kapewa kazi kisa anaijua dini 😤😤😤Wanafunzi wa chuo Kikuu cha Waislamu wadai walichapwa viboko.
View attachment 2172271
View attachment 2172273