Chuo Kikuu Cha Jordan Morogoro chageuka kituo cha kulelea wajawazito.

dah kuna mijitu mingine jf cyo mahala pao kabisa unaelewa maana ya university?ukiwa university oa lewa jiuze vuta bangi is up 2 u cha msingi usisup na kucarry au kudisco pia chuo gani tz hakina wajawazito mi nipo ud mwaka wa 3 nipo na wangu na tumepata mtoto mwaka wa 2 tatizo nini maisha ni kupanga acha umbulula

uandishi wako huu mashaka matupuu
 
Salaam wana JF,
Ninasikitishwa na hali ilivyo katika Chuo Kikuu Cha Jordan Morogoro.Ifahamike kuwa chuo hiki ni tawi la chuo kikuu cha Mt. Agustino Tanzania(SAUT)na kimeanzishwa mwaka 2010 kwa kozi ya Sanaa na Elimu(BAED)Awali, kilijulikana kama Salvatorian Institute of Philosophy and Theology.Idadi kubwa ya wanafunzi wa kike hususan wale wa mwaka wa pili na wa tatu wanaosoma kitivo cha Elimu wana mimba ambazo inasadikika kuwa wamezipata wakiwa hapo hapo Chuoni.Wakati huo huo kuna idadi kubwa ya wanafunzi ambao tayari wamekwisha jifungua na kulazimika kuhama hostel na kupanga mitaani wakilea watoto wao wakati huo huo wakiendelea na masomo.
Kutokana na hali hiyo,chuo hicho kwa sasa kimegeuka kituo cha kulelea wajawazito badala ya kuwa taasisi ya Elimu ya Juu.


Ukweli ni kwamba vijana wengi wanaamini kuwa waschana wanapojiunga na chuo basi uhusiano waweza vunjika muda wowote hivo basi kuhakikisha wanawajaza mimba mapema ili kudhibiti usaliti wa penzi, na ukiwachunguza utabaini wengi wao ni wale wanaosomea kada ya ualimu yaani alimaliza diploma, then sada anajiendeleza huku jukumu la uzazi likiwa katikati ya masomo.

Jambo jingine ni kwamba mandhari ya mji kasoro bahari inaruhusu sana mahusiano kimwili na kufanya wasichana wahamiaji kuhamasika zaidi na kuambulia kubeba mimba.

Mi nadhani tuwapongeze hao ambao wamezaa na wale ambao wamekubali kutunza viumbe tarajali maana kila wkend ukitembelea kadispensary moja hivi mitaa ya Luna basi utajionea pilikapilika za wadada wanaotoka na kuingia kutoa mimba yaani ni hatari balaa.

Ila kikubwa zaidi ni shangwe kwao kugraduate na shahada ya HIV pembeni kwa sababu ya Ngono zembe, chukueni tahadhari.
 
Salaam wana JF,
Ninasikitishwa na hali ilivyo katika Chuo Kikuu Cha Jordan Morogoro.Ifahamike kuwa chuo hiki ni tawi la chuo kikuu cha Mt. Agustino Tanzania(SAUT)na kimeanzishwa mwaka 2010 kwa kozi ya Sanaa na Elimu(BAED)Awali, kilijulikana kama Salvatorian Institute of Philosophy and Theology.Idadi kubwa ya wanafunzi wa kike hususan wale wa mwaka wa pili na wa tatu wanaosoma kitivo cha Elimu wana mimba ambazo inasadikika kuwa wamezipata wakiwa hapo hapo Chuoni.Wakati huo huo kuna idadi kubwa ya wanafunzi ambao tayari wamekwisha jifungua na kulazimika kuhama hostel na kupanga mitaani wakilea watoto wao wakati huo huo wakiendelea na masomo.
Kutokana na hali hiyo,chuo hicho kwa sasa kimegeuka kituo cha kulelea wajawazito badala ya kuwa taasisi ya Elimu ya Juu.
kwani umesikia ni sec school hiyo? hata hivyo wote ni watu wazima wanajua nn wanafanya!
tafuta mmoja nawe ummimbe then mtakua even....hahahahahahahahahaha!
umechemka.....teh teh teh
 
kwani umesikia ni sec school hiyo? Hata hivyo wote ni watu wazima wanajua nn wanafanya!
Tafuta mmoja nawe ummimbe then mtakua even....hahahahahahahahahaha!
Umechemka.....teh teh teh
sikuungi mkono kwa ujinga wako huu
 
Hao ni watu wazima wanaruhusiwa kupata ujauzito sio chekechea au shule ya msingi au ya secondary, una swali la nyongeza?
 
Back
Top Bottom