BALENSIAGA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2019
- 2,725
- 4,667
Hata km SAUT wanafundisha vzur, km hujawah kusoma UDSM bado we ni form one
Hata km SAUT wanafundisha vzur, km hujawah kusoma UDSM bado we ni form one
Kama ni hivyo kuwa UDSM wanaweka pass mark za juu basi ningetegemea hao wachache wanaokwenda Law school ndio. wangefanya vizuri na kuwa katika Kundi la wafaulu!! Unfortunately, sio hivyo!Udsm Huwa sio wengi sana Kwa sabb hata admission Yao Huwa ni ndogo sana kutokana na kuweka passmark za juu sana kuliko SAUT, unaweza kukuta udsm walikuwa 40 law school yote, Wakati SAUT 200
Nikupe mfano kama Udsm walikuwa 20 halafu wakatoka first sitting 4 ni sawa na 20%, halafu SAUT walikuwa 300 halafu halafu wakafaulu 10 ni sawa na 10%? Umeelewa?Kama ni hivyo kuwa UDSM wanaweka pass mark za juu basi ningetegemea hao wachache wanaokwenda Law school ndio. wangefanya vizuri na kuwa katika Kundi la wafaulu!! Unfortunately, sio hivyo!
Hizo hesabu yako za % mbona hazikubaliki!! Wakifaulu 10 out of 300 ni % ngapi? surely sio 10%!!!Nikupe mfano kama Udsm walikuwa 20 halafu wakatoka first sitting 4 ni sawa na 20%, halafu SAUT walikuwa 300 halafu halafu wakafaulu 10 ni sawa na 10%? Umeelewa?
Ni 3%Hizo hesabu yako za % mbona hazikubaliki!! Wakifaulu 10 out of 300 ni % ngapi? surely sio 10%!!!
Naona mnahalalisha ufelishaji wa wanafunzi unaofanywa na law school of Tanzania, makanjanja ni LST brazaj
SAUT walichokosea ni kujaza wanafunzi wengi kwenye sheria. Huwezi ukawa na wanafunzi 1000 kwenye sheria Hilo ni kosa kubwa.Hamna namna unaweza kulinganisha SAUT na UDSM kwenye kada ya sheria mkuu. Nimewahi kutana na wanafunzi wengi wa SAUT mwaka wa 4 hata plaint hajui kuandika, Ukimpa ajibu WSD ndo utacheka, ukitaka vituko mpe kazi aandae Charge, hata ku identify offence hajui.
Sijawahi kukutana na Hali kama hiyo Kwa wanafunzi wa UDSM na Mzumbe.
Hizo story za chuo flani kutoa watu wengi Huwa ni stori za vijiweni na wakufunzi Km mtaalamu Shonga au Don chuwa wakiziskia Huwa wanacheka sana Kwa dharau maana uhalisia ni tofauti.
Sijasoma UDSM lakini Kwa sheria UDSM na MZUMBE bado ni best Kwa nchi yetu Angalia hata wanafunzi wanaochukua, ni wachache na wanaufaulu mzuri hivyo rahisi kufundishika tofauti na SAUT ambao ni zoa zoa mpaka D 2 anaenda kusoma Ll.b
Ll.b3 wa mwaka huu SAUT wapo Karib 1000plus unadhani mazingira ya kujifunza yatakuwa rahisi kulinganisha na chuo kama UDSM wanachukua watu 100 ni wote ni Division one?
Hata Mimi nadhani ni hearsay za watu. Sidhani Kama Kuna ukweli wowote hapo. Ni vigumu kujua chuo gani waliofaulu wametokea.Mkuu bado nasema hizo data za mtoa mada sio sahihi, ni story za vijiweni, japo sikatai kuwa Kuna watu pia kutoka SAUT Huwa wanatoka first sitting pia, mfano Kwa cohort ya 34.
Kuna mtu namjua katoka first Sitting ni mhitimu wa SAUT. Pia najua wengine wanne waliotoka Mzumbe na UDOM.
Hizo story Huwa zipo miaka yote, mwanzo waliokuwaga na tabia ya kueneza huo uongo Ili waonekane wa maana walikuwa UDOM maana college ilikuwa mpya ko walikuwa hawataki waonekane wapo nyuma, lakini Kwa Sasa wamestaarabika.
Good analysis mkuuMleta mada (mwandishi) hayuko makini katika uchambuzi wake.
Alipaswa kutuambia hiyo idadi ya wahitimu waliofaulu Law school kutoja SAUT ni kati ya wahitimu wangapi kutoka SAUT ambao walijiunga Law school.
(Note: SAUT ndio chuo kinachodahili wanafunzi wengi zaidi wa shahada ya sheria, na ndio kinachotoa wahitimu wengi zaidi wa sheria, ndio kinachoongoza kuandikisha wanafunzi wengi zaidi kuanza mafunzo pale Law school, itakuwa maajabu kama wengi watakaofaulu Law school hawatatokea SAUT)
Kwa mfano, embu tuwaze tu, labda
Wahitimu wa SAUT waliojiunga Law school walikuwa 500, kati yao waliofaulu ni 10 (hiyo ni sawa na 2%)
Wahitimu wa vyuo vingine (UDSM, Mzumbe, Tumaini nk) waliojiunga Law school walikuwa 321, kati yao waliofaulu ni 14 (sawa na 4.4%).
Ni vipi utaiona SAUT ni bora zaidi ya wengine?
Wewe ndio uache uchuro. Tangu lini SAUT wakaizidi UDSM au Mzumbe. Let's be serious.Hivi hujaona hata Takwimu hapo juu! Acha ugoko
Not true. Nadhani unalazimisha uongo kuwa ukweli.Takwimu zinaongea. Private ni better than Government colleges
Nimeongea hali halisi.Hivi bado mna hizi mind set ? asee taifa lina safari ndefu sana
Poleni Sana kwa kuwekewa grade kubwa.Kule malecturer wanapishana darasani kama wanafundisha seminari kwa kweli warumi kwenye swala la elimu wapo vizuri sana. Waliniudhi tu kutuwekea magrade makubwa ya ufaulu wakati vyuo vingine grade zao zilikuwa chini tulipambana kweli watubadilishie walikataa wakawashushia wale wa nyuma yetu. Nilikwenda pale sijui kiingereza hasa tenses aiseee madam Munga ashukuriwe sana.
Ndio, ingawa kwa Sasa imekuwa chuo kishirikiHivi na mbeya kuna SAUT
Nimekuelewa mkuu.Sio chuo ile NI shule - school of law shule ya Sheria, sauti ndio Chuo jamaa kasema ni uchwara
Kama Mzumbe ya Vilaza hatuna vyuo Tanznaia tuvifunge.Mzumbe ya vilaza
Huu ndio ukweli kabisa.Udsm Huwa sio wengi sana Kwa sabb hata admission Yao Huwa ni ndogo sana kutokana na kuweka passmark za juu sana kuliko SAUT, unaweza kukuta udsm walikuwa 40 law school yote, Wakati SAUT 200
Duuuuh! Watu mnakaba kila kona.Kama ni hivyo kuwa UDSM wanaweka pass mark za juu basi ningetegemea hao wachache wanaokwenda Law school ndio. wangefanya vizuri na kuwa katika Kundi la wafaulu!! Unfortunately, sio hivyo!