Fredmaty Zach.
Member
- Jul 26, 2012
- 51
- 6
Jamani nikweli m2 anaweza pokelewa ktk chuo kikuu chochote hapa tz kwajili ya mafunzo ya digrii ikiwa amehitimu mafunzo ya diploma ya elimu ktk chuo cha moumt meru university bila kupitia kidato cha 6? na kinatakiwa kiwango gani cha ufaulu. nimechoka kufundisha halafu nimefikia ba wakati umri unaniita kazini. nifumbue.