Kuna nafasi za kazi zimetangazwa? lol... You never know... I may get Lucky! Habari yako Tuko....
Yaani umefikiri kama mimi ngoja nianze kuiedit CV yangu ikae kimapenzi-mapenzi nataka nafasi ya kuwa Dean of whatever school there is au hata DVC-FA(Female Administration).Nadhani wakati natuma maombi yangu ntapulizia manukato kwenye bahasha kuonyesha niko fit.Opppps!! Naanza kutoa maujanja kwa mshindani...
Ambitious utaniweza wapi? lol... Toka lini David Palmer aliyumbishwa na Mapenzi? Hakuna atakae kuamini..... Mimi ndo hasa nafaa kwa hio nafasi, CV yangu imejaa maujuzi, nawaambia hadi kile kitab cha kamasutra mimi ndio nilichapisha kiswahili chake. Niwaambia huyo Mshindani wangu Ambitious si lolote.... he is just ambitious Like Palmer was on being the first black President... lol
Naona unaanza kuniwekea ngumu kwenye mchakato wa kura za maoni,hapo kwenye Kamasutra nimechemsha.. Kwa hali hii na kwa heshima yako mimi nahamia kuwa Head of Academic Materials a.k.a Chief Librarian nimegundua huko kutanifaa zaidi ukizingatia ''mitaala ilivyo'' na kwa kuwa ''niko serious'' lazima nihakikishe ''vitabu vya kufundishia viko kwenye mikono salama''.
Dah, kwa hiyo pana vitanda na mabafu kwa ajili ya practical?
Na dawa za penzi zipo?
hahahaha.... Ambitious Muoga wa challenge wewe eeh? lol.... Haya bana, the Academic you will be, sasa will you be
my friend now that we won't b competing? ili walau tushirikiane in the name of books?
I'm more interested in practical bit ..
Maadili ya kitanzania yatakayo zingatiwa ndio
Yapi hayo.?
Kitakuwa na hostel? Na mimi naomba niwe WARDEN jamani. Niatuwa natoa extra curricula yangu ktk rooms usiku for more practices na experiences, ili kuamsha uelewa zaidi lol!