HGYTXK
Senior Member
- Oct 3, 2011
- 194
- 70
Hello wadau,naomba yeyote mwenye details za Chuo cha ardhi Morogoro kwa ngazi ya Diploma anisaidie kunipatia ikiwa ni pamoja na kozi wanazofundisha na ikiwezekana garama yaani ada pamoja na mawasilano yao.Ningeomba ushauri pia kwenu wanajamvi kwa performance ya three ya 17points PCM yaani P-E, C-F, & M-E with E ya GS nawezapata course gani ya Degree pale ARU?.
Nawasilisha.
Nawasilisha.