Chuo cha Ardhi Morogoro.

HGYTXK

Senior Member
Oct 3, 2011
194
70
Hello wadau,naomba yeyote mwenye details za Chuo cha ardhi Morogoro kwa ngazi ya Diploma anisaidie kunipatia ikiwa ni pamoja na kozi wanazofundisha na ikiwezekana garama yaani ada pamoja na mawasilano yao.Ningeomba ushauri pia kwenu wanajamvi kwa performance ya three ya 17points PCM yaani P-E, C-F, & M-E with E ya GS nawezapata course gani ya Degree pale ARU?.

Nawasilisha.
 
Mbona hukuaply degree mwaka huu wewe,wenzio wana matokeo ka hayo hayo wamepata vyuo na mikopo juu?afu acha uongo,Gs hata upate mia utawekewa S tu,sa we hyo E ya Gs uliwekewa na nan?
 
Hivi siku hizi GS kuna E? Zamani ilikuwa ni S tu hata ukipata maswali yote!

Nina mashaka kama kwa kupata E za maths na physics unaweza kuingia ARU....ngumu zaidi kama wewe ni wa kiume.
 
Ni kweli mkuu na ninashukuru kwa kuliona hilo,ni S na sio E kama ilivyoandikwa.Nashukuru pia kwa ushauri wako na mm ni mwanaume pia ili kuweka msisitizo wa angalizo la jinsia uliloweka.Kwa mtazamo wako bilashaka ungenishauri nianze na diploma.Thanx.
 
Thanx mdau,naomba radhi kwa hilo,ni S na sio E kama ilivyoandikwa.Typing error.Naheshimu mchango wako pia,nimeshindwa kuapply mwaka huu baada ya matatizo kidogo kunipata ambayo kwa hakika yaliniaribia muelekeo wangu kabisa.Nimemaliza 2005 na nikapata nafasi pale SUA Bsc Agriculture general course ambayo inahitaji msingi mkubwa wa biology na Agriculture na kwa kujiamini na PCM yangu nikaingia kichwakichwa jamaa wakanidisco mwaka wa kwanza tu kwa kukosa points 2 ktk wastani wa GPA wanazohitaji kwa mwaka,hivyo ilinibidi nitulize kichwa wakati najipanga zaidi na kwa kuwa ni mpiganaji stil najua ninawezafanya lolote ktk elimu,hiyo ndio sababu mkuu.
 
ARU ungeweza ingia kwa PCM kusoma ARCHITECTURE ila kwa pass zako hutapata nafasi. Labda jaribu DIT.
 
Kwa ARU degree SAHAU ila kuna vyuo vingi kwa matokeo yako ungeweza kupata mfano IFM,UDOM,TIA,IAA na vingine vingi,ila kama una sababu zako binafsi ya kusomea mambo ya ardhi,majengo au michoro ni sawa ukipiga hiyo diploma.
 
Nakushauri ujaribu DIT, huwa pale wanafanya pre-entry kwa miezi 3 then wanafanya mtihani.
 
Asante MZEE,bilashaka itanilazimu nianze mchakato net year maana kwa mwaka huu tayari nimeshachelewa.Nitajitahidi kufuatilia kwa karibu DIT nicheki kozi zao.Pamoja mkubwa Mungu akubariki sana.
 
Thanx mdau,naomba radhi kwa hilo,ni S na sio E kama ilivyoandikwa.Typing error.Naheshimu mchango wako pia,nimeshindwa kuapply mwaka huu baada ya matatizo kidogo kunipata ambayo kwa hakika yaliniaribia muelekeo wangu kabisa.Nimemaliza 2005 na nikapata nafasi pale SUA Bsc Agriculture general course ambayo inahitaji msingi mkubwa wa biology na Agriculture na kwa kujiamini na PCM yangu nikaingia kichwakichwa jamaa wakanidisco mwaka wa kwanza tu kwa kukosa points 2 ktk wastani wa GPA wanazohitaji kwa mwaka,hivyo ilinibidi nitulize kichwa wakati najipanga zaidi na kwa kuwa ni mpiganaji stil najua ninawezafanya lolote ktk elimu,hiyo ndio sababu mkuu.

dah!!pole sana mkuu,bt uckatishwe tamaa na watu ndugu yangu,huko ardhi wanakosema huwez pata,me kuna watu wangu wa karibu wana matokeo ka hayo yako wanasoma hapo building economics,so jaribu nawe bahati yako kuliko kukimbilia diploma.
 
Nashukuru sana SENETOR kwa ushauri wako,ninauchukua ushauri wako pia 100% na nitaufanyia kazi pale application zitakapofunguliwa next year.Mungu akubariki sana.
 
Asante MZEE,bilashaka itanilazimu nianze mchakato net year maana kwa mwaka huu tayari nimeshachelewa.Nitajitahidi kufuatilia kwa karibu DIT nicheki kozi zao.Pamoja mkubwa Mungu akubariki sana.

mungu awe nawe.

Kuna mshikaji alimaliza form six 2009, hakufanya vizuri. Alipata four ya 18. Alikata tamaa kabisa, alijaribu kuomba ualimu dip akakosa, akaomba jeshi pia akakosa.

Nilimshauri afatilie mchongo wa DIT, alifanikiwa. Mwaka huu yupo 2nd year. Nakusih usikate tamaa.

Never stop chasing your dream. Pamoja sana ndg.

Kama unahisi kuna msaada utauhitaji kutoka kwangu, plz usisite kuni-PM.
 
Thanx mdau,naomba radhi kwa hilo,ni S na sio E kama ilivyoandikwa.Typing error.Naheshimu mchango wako pia,nimeshindwa kuapply mwaka huu baada ya matatizo kidogo kunipata ambayo kwa hakika yaliniaribia muelekeo wangu kabisa.Nimemaliza 2005 na nikapata nafasi pale SUA Bsc Agriculture general course ambayo inahitaji msingi mkubwa wa biology na Agriculture na kwa kujiamini na PCM yangu nikaingia kichwakichwa jamaa wakanidisco mwaka wa kwanza tu kwa kukosa points 2 ktk wastani wa GPA wanazohitaji kwa mwaka,hivyo ilinibidi nitulize kichwa wakati najipanga zaidi na kwa kuwa ni mpiganaji stil najua ninawezafanya lolote ktk elimu,hiyo ndio sababu mkuu.

mkuu, pole sana. SUA waliamua kukutoa kwa knock out. Pole sana.
 
Hello wadau,naomba yeyote mwenye details za Chuo cha ardhi Morogoro kwa ngazi ya Diploma anisaidie kunipatia ikiwa ni pamoja na kozi wanazofundisha na ikiwezekana garama yaani ada pamoja na mawasilano yao.Ningeomba ushauri pia kwenu wanajamvi kwa performance ya three ya 17points PCM yaani P-E, C-F, & M-E with E ya GS nawezapata course gani ya Degree pale ARU?.

Nawasilisha.

hivi ARU iko morogoro?
 
Kwa grade ulizopata, nakushauri utafute chuo chochote kinachotoa Diploma (Higher National Diploma) katika masomo ya uhandisi usome course ya miaka miwili au mitatu, baada ya hapo tumia Diploma hiyo kama entry qualifications (Equivalent qualifications) kuomba admission Chuo kikuu. Angalizo moja ni kwamba ujitahidi upate Credit au Distinction. Kwa Combination yako ya PCM, Jaribu Mbeya Institute of Technology (MIT), DIT, Arusha Tech. Vyuo hivyo wana course nzuri tu zinazohitaji masomo ya sayansi A level wala hutajuta.

Hiyo ni njia ndefu ili ufanikiwe kupata degree, cha muhimu usijione kuwa umeshindwa.
 
hivi ARU iko morogoro?
Hapana mkuu Morogoro kuna Chuo cha Ardhi kinachotoa dip na Cert na ni njia ya kuelekea ARU hivyo niliuliza kama njia mbadala ya kwenda ARU kama itashindikana kuingia moja kwa moja.Nashukuru pia kwa kujali kwako na Mungu akubariki sana.
 
Kwa grade ulizopata, nakushauri utafute chuo chochote kinachotoa Diploma (Higher National Diploma) katika masomo ya uhandisi usome course ya miaka miwili au mitatu, baada ya hapo tumia Diploma hiyo kama entry qualifications (Equivalent qualifications) kuomba admission Chuo kikuu. Angalizo moja ni kwamba ujitahidi upate Credit au Distinction. Kwa Combination yako ya PCM, Jaribu Mbeya Institute of Technology (MIT), DIT, Arusha Tech. Vyuo hivyo wana course nzuri tu zinazohitaji masomo ya sayansi A level wala hutajuta.

Hiyo ni njia ndefu ili ufanikiwe kupata degree, cha muhimu usijione kuwa umeshindwa.
Nashukuru Bwana Ngeleja,nimeuchukua ushauri wako pia na Mungu akubariki sana.
 
mungu awe nawe.

Kuna mshikaji alimaliza form six 2009, hakufanya vizuri. Alipata four ya 18. Alikata tamaa kabisa, alijaribu kuomba ualimu dip akakosa, akaomba jeshi pia akakosa.

Nilimshauri afatilie mchongo wa DIT, alifanikiwa. Mwaka huu yupo 2nd year. Nakusih usikate tamaa.

Never stop chasing your dream. Pamoja sana ndg.

Kama unahisi kuna msaada utauhitaji kutoka kwangu, plz usisite kuni-PM.

Asante sana MZEE,nimepitia website ya DIT hapa ili kucheki kozi zao,nitaendelea kufuatilia zaidi na kama ulivyosema bilashaka nitahitaji msaada wako na nitaku e-mail ili kukuomba mawasiliano pale itakapobidi.Pamoja mkuu na Mungu akuongoze ktk mambo yako.
 
Asante sana MZEE,nimepitia website ya DIT hapa ili kucheki kozi zao,nitaendelea kufuatilia zaidi na kama ulivyosema bilashaka nitahitaji msaada wako na nitaku e-mail ili kukuomba mawasiliano pale itakapobidi.Pamoja mkuu na Mungu akuongoze ktk mambo yako.

shaka ondoa mkuu.
 
Back
Top Bottom