Teh Young Master wengi humu wameoa na wengine ni watalakwa km platozoom
Full Vesion iko hivi,Chungwa nikalimega nikadhani chenza
Kumbe limeshamegwa tayari na waume wenza
Heri chungwa angeweka limao ili lifanane na chenza
Kwani ungeniambia ni chungwa unafikiri ningekuacha?
Mbona wengi wameolewa na chungwa na ndoa zinadumu?
Na wale wenye waliokuwa na chenza wamepoteza ndoa zao....
Ni kweli niliamini kwamba ni chenza
Kwa sababu wewe mwenyewe ulinieleza
Kumbe una chungwa tena dalanzi la Muheza
Ila huna haja ya kunikimbia ukiniona
kwangu mimi chenza na chungwa navyoona
Ladha ni ileile ukilitunza
Full Vesion iko hivi,
{Amina njoo nikutume kwa kina Aisha
Mwambie Aisha Aje
Kama hataki usimbembeleze
Basi mwambie asije} x 2 (chorus)
Minajua alikuwa ananiambatia
Akaniongopea tunda langu chenza kanihifadhia hui hui hui
Kumbe chungwa kalimenya utadhani chenza
Na lishamegwa na waume wenza ha ha ha ha
Chungwa kalimenya utadhani chenza
Na lishamegwa na waume wenza ha ha ha ha
Bora chenza ngefanisha na limao
Kama si kwa kula ndo ungejua sio
Amina mwambie Aisha aje
Aje na hilo chungwa, aje anipe asiogope, aache mapepe
Basi kama chungwa sitolila kwa nongwa
Basi kama chenza ila nalitunza, lla anipe apunguze mapepe ee ee
Kama hataki usimbembeleze, basi mwambie asije.
(chorus)
Ee najua Hamisa alishamshutukia
Ndio maana akiniona sehemu yoyote nilipo anakimbia ha ha ha ha
Amina mwambie Aisha aje, hata kama ana chungwa, aje hivyo hivyo
Thamani ya mwanamke sio chenza no,
Thamani ya mwanamke ni mwenyewe jinsi alivyo
Wengi wameolewa na machenza, ndoa zao wameshindwa kuzitunza
Na wangapi wameolewa wana chungwa, mpaka sasa ndoa zao wanazichunga
Au basi mwambie asije, huwezi kujua mie ananionaje
Yallah naumia, mi nimeumia, au akinipa mimi nitamkimbia aa
Kwa jinsi mimi ninavyomfagilia aa, Mungu mwenyewe ndio mwenye kujua
Akikubali kwangu msogeze, aje aniliwaze.
(chorus) x 2
platozoom huwa haachwi..anaachaTeh Young Master wengi humu wameoa na wengine ni watalakwa km platozoom
Secretary, ili iwe ni copy and paste, lazima na mimi hizo lyrics nitakuwa nimezicopy mahali na kuzi paste hapa!,copy and paste
Pasco umeamka salama? au The secretary ameharibu mood!!!!Secretary, ili iwe ni copy and paste, lazima na mimi hizo lyrics nitakuwa nimezicopy mahali na kuzi paste hapa!,
Nakuomba na wewe zitafute popote, ukizipata zibandike hapa na zimefanana, nakupa US $ 100!.
Kwa taarifa tuu, huo wimbo niliuzimikia sana, na ninao kichwani word to word, hiyo nimeandika toka kichwani, na kuna maneno kibao nimeyaandika jinsi nilivyoyasikia, naamini ikipatikana original lyrics yatakuwa tofauti!.
Ahadi yangu ya dola 100 inasimama, tena namuomba Invi aisimamie ili kuwafunza mafedhuli kama wewe kujifunza kuwa na shukrani!.
Pasco.
Bishanga gudmorning, charminglady kaenda vigwaza, akirudi huko wote mtampigia magoti.Arrrrooo rara,amy yuko wapi?
hubby morning! nilijua umebebwa na waparaganyi wa jei efu, kumbe upo, lol! mi mithd u! mwahhhhh!
Kiukweli imenitach, nimeandika toka kichwani halafu unaambiwa ni copy and paste!, kiukweli hiyo dola 100 natoa!.Pasco umeamka salama? au The secretary ameharibu mood!!!!
unaguna nini we kidume bwana ebo! unaogopa marathon eeehhh? ulizoea kutambaa! teh teh teh!