Arrrrooo rara,amy yuko wapi?
Hehehehe Young Master unajifanyaga uko busy sn ngoja ile kwako ndo utajua....
cacico akutafute jioni muende mkafanye nini? una hamu nikugeuze kuwa ng'ombe wa maziwa eeee???Hehehehe Young Master unajifanyaga uko busy sn ngoja ile kwako ndo utajua....
cacico mi sisemi neno...!!
Btw kesho jioni nitafute
yamekuwa hayo?....!!!!!!!!!!!
Hehehehe wewe ndo ntafute basi.. Amyner ataleta noma akiniona na cacico
ndio maana yake...!!! mnataka kumchakachua mke wangu wakati niko...kisa na mkasa??? siridhishi au??