platozoom
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 9,366
- 11,154
Chungwa nikalimega nikadhani chenza
Kumbe limeshamegwa tayari na waume wenza
Heri chungwa angeweka limao ili lifanane na chenza
Kwani ungeniambia ni chungwa unafikiri ningekuacha?
Mbona wengi wameolewa na chungwa na ndoa zinadumu?
Na wale wenye waliokuwa na chenza wamepoteza ndoa zao....
Ni kweli niliamini kwamba ni chenza
Kwa sababu wewe mwenyewe ulinieleza
Kumbe una chungwa tena dalanzi la Muheza
Ila huna haja ya kunikimbia ukiniona
kwangu mimi chenza na chungwa navyoona
Ladha ni ileile ukilitunza
Kumbe limeshamegwa tayari na waume wenza
Heri chungwa angeweka limao ili lifanane na chenza
Kwani ungeniambia ni chungwa unafikiri ningekuacha?
Mbona wengi wameolewa na chungwa na ndoa zinadumu?
Na wale wenye waliokuwa na chenza wamepoteza ndoa zao....
Ni kweli niliamini kwamba ni chenza
Kwa sababu wewe mwenyewe ulinieleza
Kumbe una chungwa tena dalanzi la Muheza
Ila huna haja ya kunikimbia ukiniona
kwangu mimi chenza na chungwa navyoona
Ladha ni ileile ukilitunza