Chukueni tahadhari na dawa hii, TFDA na Wizara ya Afya mpo wapi?

LICHADI

JF-Expert Member
Feb 4, 2015
4,227
11,415
Kuna dawa ya kutibu malaria maarufu inayojulikana kwa jina la MALAFIN
1484110507152.jpg


Hiyo dawa hapo juu ndani ina vidonge viwili na huwa inauzwa kwa bei ya sh 1500, na sehemu nyingine huwa ni sh 2000.

Baada ya kuitumia kwa zaidi ya mara tatu, kila muda ninapoitumia imeniletea madhara ikiwemo uvimbe kama mvilio wa damu kwenye kichwa cha uume na ngozi ya uume kuchubuka. Pia mdomo nao kwenye lips kumetokea mchubuko na mvilio wa damu.

Baada ya kwenda hospitali kuonana na doctor kumuelezea hali yangu ilivyo baada ya kuitumia ile dawa nliyonunua pharmacy. Doctor aliniambia kuwa hizo dawa ni hatari sana na zinaweza kupofua macho na hata kuharibu system ya nguvu za kiume na akanitaka iwe mwanzo na mwisho kuzitumia kwa usalama wangu

USHUHUDA

Baada ya kuelezea hili tatizo kwa watu wengine kuna baadhi nao wamesema limeshawatokea. Zaidi ya watu watatu waliniambia kuwa nao tatizo hili liliwapata.

My take

TFDA kama mnadhani huu uzi ni wa kuchafuliana biashara, chukueni sample ya hizi dawa zilizozagaa nchi nzima na huko kwenye mapharmacy ndio zinauzwa kama njugu na watu wanazinunua sana kwa sababu ni bei rahisi.

Baada ya kuzichukua zifanyieni uchunguzi ikibidi na nyie mnywe kabisa ili muone matokeo yake. Hizi dawa ni feki matokeo yake ndio magonjwa ya cancer yanayotuuwa kila siku.

Chukueni Tadhadhari

Ndugu zangu tatizo sio dawa ila tatizo ni watumiaji wanakuwa na mzio (allergy) na dawa hizo, kiufupi wanakuwa allergic to sulphur. Ingawa dawa hizo hazipendekezwi na wizara ya afya ya Tanzania kwa matibabu ya malaria. Ila inaweza kutumika kwa wajawazito kama kinga tu.
 
Sijui ila wataalam watatuelezea zaidi. Ninavyojua miaka yote hizi dawa za Malaria kuna watu zinawatibu na wengine zinawadhuru.

Kwa mfano, mimi nikinywa haya maziwa yanayouzwa madukani kwenye pakti huwa ninawashwa mwili mzima. Ila siwezi kusema haya maziwa yana matatizo.

Sielewi ni nini ila watakuja wataalam watusaidie.
 
Sijui ila wataalam watatuelezea zaidi. Ninavyojua miaka yote hizi dawa za Malaria kuna watu zinawatibu na wengine zinawadhuru.

Kwa mfano, mimi nikinywa haya maziwa yanayouzwa madukani kwenye pakti huwa ninawashwa mwili mzima. Ila siwezi kusema haya maziwa yana matatizo.

Sielewi ni nini ila watakuja wataalam watusaidie.
Hizi dawa ni feki usitetee ujinga
 
Dawa yoyote haiwezi kuondolewa sokoni kwa sababu ya madhara anayoyapata mtumiaji mmoja mmoja bali kwa kuthibitika kuwa dawa husika haina uwezo wa kutibu ugonjwa ambao dawa ilitegemewa ingetibu.

Kwenye kila dawa huwa wanatoa tahadhari kuwa usitumie endapo itakuletea mzio/allerg au hata reaction yoyote sasa wewe baada ya kukuletea mzio ukaendelea kutumia halafu unawataka TFDA wachukue hatua? hapo ni sawa na uvute sigara ikuletee madhara halafu utegemee kulalama kwa mamlaka husika wakati umeona onyo.

Zaidi ya yote MALAFIN ni intermittent preventive therapy of malaria in Pregnant ambayo inatumiwa na wamama wajawazito kuzuia maambukizi ya malaria nimeshangaa kuona wewe mwenzetu bolo lako likaivia damu hayo ndio madhara ya kununua dawa mitaani mkipatwa na madhara mnaanza kulaumu mamlaka
 
Ndugu zangu tatizo sio dawa ila tatizo ni watumiaji wanakuwa na mzio (allergy) na dawa hizo, kiufupi wanakuwa allergic to sulphur. Ingawa dawa hizo hazipendekezwi na wizara ya afya ya Tanzania kwa matibabu ya malaria. Ila inaweza kutumika kwa wajawazito kama kinga tu.
ndiyo majibu sahihi, watu wanaamua kujitibu wenyeww bila kutafuta ushauri kisha wanaleta uharo wao mbele ya GT,

Nawashauri wanaotolea povu Dawa za tiba wajifunze kufanya allergy test kabla ya kuchefua mamlaka
 
Kuna dawa ya kutibu malaria maarufu inayojulikana kwa jina la MALAFIN
View attachment 457836

Hiyo dawa hapo juu ndani ina vidonge viwili na huwa inauzwa kwa bei ya sh 1500, na sehemu nyingine huwa ni sh 2000.

Baada ya kuitumia kwa zaidi ya mara tatu, kila muda ninapoitumia imeniletea madhara ikiwemo uvimbe kama mvilio wa damu kwenye kichwa cha uume na ngozi ya uume kuchubuka. Pia mdomo nao kwenye lips kumetokea mchubuko na mvilio wa damu.

Baada ya kwenda hospitali kuonana na doctor kumuelezea hali yangu ilivyo baada ya kuitumia ile dawa nliyonunua pharmacy. Doctor aliniambia kuwa hizo dawa ni hatari sana na zinaweza kupofua macho na hata kuharibu system ya nguvu za kiume na akanitaka iwe mwanzo na mwisho kuzitumia kwa usalama wangu

USHUHUDA

Baada ya kuelezea hili tatizo kwa watu wengine kuna baadhi nao wamesema limeshawatokea. Zaidi ya watu watatu waliniambia kuwa nao tatizo hili liliwapata.

My take

TFDA kama mnadhani huu uzi ni wa kuchafuliana biashara, chukueni sample ya hizi dawa zilizozagaa nchi nzima na huko kwenye mapharmacy ndio zinauzwa kama njugu na watu wanazinunua sana kwa sababu ni bei rahisi.

Baada ya kuzichukua zifanyieni uchunguzi ikibidi na nyie mnywe kabisa ili muone matokeo yake. Hizi dawa ni feki matokeo yake ndio magonjwa ya cancer yanayotuuwa kila siku.

Chukueni Tadhadhari
Pole sana.
Kwanza nikujulishe ya kuwa dawa hiyo imeshaondolewa katika dawa za kutibu malaria na kwa sasa inatumika kama kinga kwa kina mama wajawazito tu (angalia vizuri box lake na utaona for intermittent prevention of malaria in pregnancy).
Kuhusu yaliyokupa ni kuwa umepata reaction ya sulphur na uwe mwangalifu kwa dawa zote zenye sulphur na mueleze daktari wako kabla hajakuandikia dawa.
Dawa ya kutibu malaria isiyo kali ni MSETO au ALU igawa waswahili tunapenda rahisi hata katika manbo magumu na wengi wanaikimbia ALU kwa wingi wa vodonge.
 
Dawa yoyote haiwezi kuondolewa sokoni kwa sababu ya madhara anayoyapata mtumiaji mmoja mmoja bali kwa kuthibitika kuwa dawa husika haina uwezo wa kutibu ugonjwa ambao dawa ilitegemewa ingetibu.

Kwenye kila dawa huwa wanatoa tahadhari kuwa usitumie endapo itakuletea mzio/allerg au hata reaction yoyote sasa wewe baada ya kukuletea mzio ukaendelea kutumia halafu unawataka TFDA wachukue hatua? hapo ni sawa na uvute sigara ikuletee madhara halafu utegemee kulalama kwa mamlaka husika wakati umeona onyo.

Zaidi ya yote MALAFIN ni intermittent preventive therapy of malaria in Pregnant ambayo inatumiwa na wamama wajawazito kuzuia maambukizi ya malaria nimeshangaa kuona wewe mwenzetu bolo lako likaivia damu hayo ndio madhara ya kununua dawa mitaani mkipatwa na madhara mnaanza kulaumu mamlaka
Wafanyabiashara wa madawa mpo kazini
We naeleza kabisa kuwa zaidi ya watu watatu nnaowafahamu wanasema tatizo wamekutana nalo
Je wengine ambao sijawaho kuwaona?
 
Kuna dawa ya kutibu malaria maarufu inayojulikana kwa jina la MALAFIN
View attachment 457836

Hiyo dawa hapo juu ndani ina vidonge viwili na huwa inauzwa kwa bei ya sh 1500, na sehemu nyingine huwa ni sh2000

Baada ya kuitumia kwa zaidi ya mara tatu,kila mda nipoitumia imeniletea madhara ikiwemo uvimbe kama mvilio wa damu kwenye kichwa cha uume na ngozi ya uume kuchubuka
Pia mdomo nao kwenye lips,kumetokea mchubuko na mvilio wa damu

Baada ya kwenda hospitali kuonana na doctor kumuelezea hali yangu ilivyo baada ya kuitumia ile dawa nliyonunua pharmacy
Doctor aliniambia kuwa hizo dawa ni hatari sana na zinaweza kupofua macho na hata kuharibu system ya nguvu za kiume na akanitaka iwe mwanzo na mwisho kuzitumia kwa usalama wangu

USHUHUDA

Baada ya kuelezea hili tatizo kwa watu wengine kuna baadhi nao wamesema limeshawatokea
Zaidi ya watu watatu waliniambia kuwa nao tatizo hili liliwapata

My take

TFDA kama mnadhani huu uzi ni wakuchafuliana biashara, chukueni sample ya hizi dawa zilizozagaa nchi nzima na huko kwenye mapharmacy ndio zinauzwa kama njugu na watu wanazinunua sana kwa sababu ni bei rahisi

Baada ya kuzichukua zifanyieni uchunguzi ikibidi na nyie mnywe kabisa ili muone matokeo yake
Hizi dawa ni feki matokeo yake ndio magonjwa ya cancer yanayotuuwa kila siku

Chukueni Tadhadhari
Hiii nchi ina watu wa ajabu sana kwanza hizi dawa walishapiga marufuku kuziuza pharmacy wakazihamishia hospital zenye clinics za wajawazito kwa ajili ya kinga za malaria
Na ukiisoma ile metakelfin org ambayo nadhani inatokea Italy waandaaji wa hiyo dawa wameandika ukiigeza katika utengenezaji inaweza ikauwa,
Pili kuna dawa walitoa tangazo kuwa hazifai kuuzwa na zina madhara na kuna hizi glevo (levofloxiacilin tbs 500mg ) ambazo walizipiga marufuku kuziuza madukani na mahospitalin ila zitumike kwa ajili ya wagonjwa wenye T.b tu na walidai watazihamishia sehemu husika lakini ukienda kwenye pharmacy za mikoani utakuta zinaizika kama njugu najiuliza hawa T.F.D.A kazi yao ni kukaa maofisini au ni nini
 
Pole sana.
Kwanza nikujulishe ya kuwa dawa hiyo imeshaondolewa katika dawa za kutibu malaria na kwa sasa inatumika kama kinga kwa kina mama wajawazito tu (angalia vizuri box lake na utaona for intermittent prevention of malaria in pregnancy).
Kuhusu yaliyokupa ni kuwa umepata reaction ya sulphur na uwe mwangalifu kwa dawa zote zenye sulphur na mueleze daktari wako kabla hajakuandikia dawa.
Dawa ya kutibu malaria isiyo kali ni MSETO au ALU igawa waswahili tunapenda rahisi hata katika manbo magumu na wengi wanaikimbia ALU kwa wingi wa vodonge.
Nimekuelewa mkuu
 
Hiii nchi ina watu wa ajabu sana kwanza hizi dawa walishapiga marufuku kuziuza pharmacy wakazihamishia hospital zenye clinics za wajawazito kwa ajili ya kinga za malaria
Na ukiisoma ile metakelfin org ambayo nadhani inatokea Italy waandaaji wa hiyo dawa wameandika ukiigeza katika utengenezaji inaweza ikauwa,
Pili kuna dawa walitoa tangazo kuwa hazifai kuuzwa na zina madhara na kuna hizi glevo (levofloxiacilin tbs 500mg ) ambazo walizipiga marufuku kuziuza madukani na mahospitalin ila zitumike kwa ajili ya wagonjwa wenye T.b tu na walidai watazihamishia sehemu husika lakini ukienda kwenye pharmacy za mikoani utakuta zinaizika kama njugu najiuliza hawa T.F.D.A kazi yao ni kukaa maofisini au ni nini
Sema wewe mkuu maana wauza maduka ya madawa wamekuja na mambo ya mzio hapa
 
kila mtu anaetumia dawa za maralia ana dawa yake special. binafsi hiyo ndiyo dawa nnayotumia mimi miaka yote haijanidhuru bado
wengine wanatumia SP, Mseto hta mwarobaini na zinawatibu vizuri tu, SP nasikia zimefungiwa sikuhizi
wewe utakuwa na allergy
 
Back
Top Bottom