sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Daaah, mmeamua kunishambulia na kakako??? Siamini macho yangu...lolkhaa,wifi kwa hela nilizo nazo mtaji hauwezi kukata na kaka'ngu analitambua hilo,wee sema tu umemhonga nani
Daaah, mmeamua kunishambulia na kakako??? Siamini macho yangu...lolkhaa,wifi kwa hela nilizo nazo mtaji hauwezi kukata na kaka'ngu analitambua hilo,wee sema tu umemhonga nani
we jichekelesheshe wakati una deni halafu kubwaaa hilo.
Hapa basi inawezekana NN alikuwa anakichanga kwa ajili ya hela za kupigia kampeni Ubunge 2015
Umeona eeh bora mi yale magunia amekiri nimeshamlipawe jichekelesheshe wakati una deni halafu kubwaaa hilo.
Wewe huna deni? Manake nakuona umerelax mpaka nahisi wivu!Mbona ADi alinambia deni limeshaisha.. Ngoja nicheck nae tena.. Kaby umentisha mi najitamba cna madeni mtoto wa watu!
hahahaha..... Pole saana Kongosho....lol... Si wajua niliwamiss nikaona hata hivo sababu yamenikuta Niweke hadharani.... Kuhusu bei ni maelewano. Si wajua huo ubody guard wahusisha na wewe kuweza jitahidi kuhimiza wanilipe? Itakua Pay as you earn type....lol
Daaah, mmeamua kunishambulia na kakako??? Siamini macho yangu...lol
ila usimkope Amyner lol.
Umeona eeh bora mi yale magunia amekiri nimeshamlipa
ila usimkope Amyner lol.
mwanaume mzima unajisifia kwa kukopa lol
Hehehe, kama sio sigara ni viroba!nalipwa kwa pounds
ila hapa ulinzi wa uhakika, hata nzi naua kwa bunduki
afu kuna mtu hapo anadaiwa hela ndogo kweli
alikopa za sigara?
Teh teh omba kusamehewa bila mashart maana ukipewa mashart bd itakula kwakohii thread imenishtua lol
maana nna madeni ya kweli yananiumiza kichwa
nimezima simu leo kwa ajili ya madeni dah...lol
unafikiri kasmol houz kanakula wapi!
hahahaha..... Uzuri wako Amyner wewe ni mlipaji mzuri baas wafikiri woote walipaji.... Imagine Bishanga nimemtia ndani tayari sababu ya usumbufu wake.....lol